Naomba kutajiwa beach za Kigamboni

Naomba kutajiwa beach za Kigamboni

kijiji beach resort na south beach wapi bora???
 
Habari za J.mosi!

Naomba nitajiwe beach nzuri za Kigamboni ambazo bei yake ni nafuu kuanzia entrance fee kama ipo na chakula na vinywaji pia.

Iwe beach ambayo inajaa watu at least ila sio watoto,maana naenda alone so nataka iwe na watu watu nipate vya kushangaa shangaa.

Na ni siku gani hua pananoga yani,maybe mziki au band...

NB: Hua natokaga mara moja moja sana,naomba mkinitajia mnitajie sehemu ambayo nta enjoy to the fullest regardless ntakua alone.

Mnaweza nitajia hata ambazo sio za Kigamboni(ila natamani sana huko)
Mikadi. ..toto za kumwaga fahari ya macho chuchu saa 6. Kiingilio buku. usalama utajijua ukijichanganya ovyo ngeta nazo zakumwaga maana kuna mseto wa kutosha
 
Kigambon Home sweety Home

Full Ulinzi...
Anya time

South Beach

Kijiji Beach

Barakuda

Sun rise

Moja wapo kati ya Hizo waweza Sema unapenda pelekwa wap

Security ipo ya kutosha

Mlinz wa Ziada Nipo Hapa kama utaniitaji

Any Time

Home sweety Home welcome kigambon

9t ntakupitisha ktk Darajaa la Nyerere

Zen ntakupeleka Had Chumban kwako ukapumzike

Siku itakuwa imeisha

NB: Siwez Fanya Mambo ya Ziada May B Boss wangu Ukiitaji
 
Kigambon Home sweety Home

Full Ulinzi...
Anya time

South Beach

Kijiji Beach

Barakuda

Sun rise

Moja wapo kati ya Hizo waweza Sema unapenda pelekwa wap

Security ipo ya kutosha

Mlinz wa Ziada Nipo Hapa kama utaniitaji

Any Time

Home sweety Home welcome kigambon

9t ntakupitisha ktk Darajaa la Nyerere

Zen ntakupeleka Had Chumban kwako ukapumzike

Siku itakuwa imeisha

NB: Siwez Fanya Mambo ya Ziada May B Boss wangu Ukiitaji
Mkuu naomba unijibu maswali haya

1:ukienda south beach kwa group kama 80 kiingilio wanapunguza?

2:na je south beach ukilipia kiingilio ndo hela hiyo hiyo ya kuogelea

3:kuna vitu gani vya kuvutia south beach

4:kuogelea mwisho saa ngapi?
 
Mikadi haina tofauti sana na coco beach
beach ya watoto wa mbagala

Baracuda ni chaafu mno
vyoo vyake ni UTI guarantee.. nashindwa elewa kwa nini watu hawaisusi

kigamboni kuna beach nyingi lakini nzuri

Kijiji beach naipenda zaidi....
ingine South Beach
halafu Sunrise

Kuna beach za ukweli pia ambazo waswahili wengi hawazizungumzi
Changani beach
Amani beach.....
 
Mnaokuja huku nichekini mm nakataa mjimwema ndo njia panda ya beach zote za kigamboni nitawapa company
 
Mikadi haina tofauti sana na coco beach
beach ya watoto wa mbagala

Baracuda ni chaafu mno
vyoo vyake ni UTI guarantee.. nashindwa elewa kwa nini watu hawaisusi

kigamboni kuna beach nyingi lakini nzuri

Kijiji beach naipenda zaidi....
ingine South Beach
halafu Sunrise

Kuna beach za ukweli pia ambazo waswahili wengi hawazizungumzi
Changani beach
Amani beach.....
Mkuu kijiji beach na south beach ipi nzuri?


Halafu ipi ina gharama ndogo kuliko nyingine?
 
Co beach ila itakufaaa swmng zpo za kutosha michezo ya wakubwa na watoto wabongo n wa kuhesabu tena wastarabu sana n wahind inaitwa fun city kingilio 14000
 
Back
Top Bottom