Naomba kutajiwa beach za Kigamboni

Naomba kutajiwa beach za Kigamboni

Angalizo; Mikadi usiende kabisa asa siku za jumapili kuna kundi la vijana vibaka huwa wanatoka mbagala wakiwa wamekodi coaster nzima lengo lao likiwa ni kupora tu kila wanaemuona ana chochote ambacho ni Mali kwao. Na kama kawaida ya watu wa Dar ukiporwa usitegemee msaada toka kwao.

Hivyo mikadi na beach kimba sio pakupendelea kwenda saana, pako local and unorganized.
 
Angalizo; Mikadi usiende kabisa asa siku za jumapili kuna kundi la vijana vibaka huwa wanatoka mbagala wakiwa wamekodi coaster nzima lengo lao likiwa ni kupora tu kila wanaemuona ana chochote ambacho ni Mali kwao. Na kama kawaida ya watu wa Dar ukiporwa usitegemee msaada toka kwao.

Hivyo mikadi na beach kimba sio pakupendelea kwenda saana, pako local and unorganized.
Asante kwa angalizo,halafu huko si ndo wanabaka
 
Angalizo; Mikadi usiende kabisa asa siku za jumapili kuna kundi la vijana vibaka huwa wanatoka mbagala wakiwa wamekodi coaster nzima lengo lao likiwa ni kupora tu kila wanaemuona ana chochote ambacho ni Mali kwao. Na kama kawaida ya watu wa Dar ukiporwa usitegemee msaada toka kwao.

Hivyo mikadi na beach kimba sio pakupendelea kwenda saana, pako local and unorganized.
bado unakumbuka lile tukio?
 
ndo hapa???
southbeach.jpg
 
Back
Top Bottom