Wadau,
Moja kati ya kero yangu kubwa kwenye hizi english medium ni huu mfumo wa kulazimisha watoto wa Standard 4 na 7 kufanya remedial kwa lazima , hata pale ambapo hakuna ulazima huo. Najua shule zinafanya biashara lakini si kwa kuwapa watoto stress zisizo na lazima . Watoto mwaka mzima kuanzia asubuhi mpaka jioni kama sio usiku ni kukaririshwa tu bila kupewa elimu yoyote ya kuwajenga kwa stadi za maisha na skills zitakazowasaidia wao na maisha yao ya baadae.
Kwa sababu hiyo naomba kujuzwa kama kuna shule zozote ambazo hazina hii programu ya remedial kwa haya madarasa na hasa zile ambazo ziko wilaya ya kinondoni au ubungo.
Natanguliza shukrani
Moja kati ya kero yangu kubwa kwenye hizi english medium ni huu mfumo wa kulazimisha watoto wa Standard 4 na 7 kufanya remedial kwa lazima , hata pale ambapo hakuna ulazima huo. Najua shule zinafanya biashara lakini si kwa kuwapa watoto stress zisizo na lazima . Watoto mwaka mzima kuanzia asubuhi mpaka jioni kama sio usiku ni kukaririshwa tu bila kupewa elimu yoyote ya kuwajenga kwa stadi za maisha na skills zitakazowasaidia wao na maisha yao ya baadae.
Kwa sababu hiyo naomba kujuzwa kama kuna shule zozote ambazo hazina hii programu ya remedial kwa haya madarasa na hasa zile ambazo ziko wilaya ya kinondoni au ubungo.
Natanguliza shukrani