grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,820
Habari anayo dadadekiii
Sasa asipojikaza kisabuni atafanyaje lakini kwa kweli hata akiongea point gani kwa kitendo hiki aiseee i consider it PUMBA
Kuna post moja humu imemtaja wazi, kwa hiyo nina hakika habari ameipata...