Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,727
- 218,289
Bila shaka kujua wasifu wa Mtumishi yeyote wa EWURA hasa kwa vile ni Mtumishi wa Umma si kosa kisheria.
Basi na mimi kama raia wa Tanzania ningepependa kufahamu wasifu wa mtumishi huyu wa nchi yangu.
Naomba kuwasilisha.
Basi na mimi kama raia wa Tanzania ningepependa kufahamu wasifu wa mtumishi huyu wa nchi yangu.
Naomba kuwasilisha.