dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
Je, Rostam Aziz kashamuweka Kiganjani?
Tangu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Dk James Mwainyekule ambaye pia ni mume wa Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson akamate kiti hiki, Mafuta yamekuwa ya Tabu sana kupatikana.
Napendekeza aondolewe ili kuokoa taifa sababu Wanasiasa Marafiki zake wamemzidi maarifa.
Ukiacha kuwa mume wa Spika, ni rafiki Mkubwa wa Waziri Makamba. Makamba ni Rafiki wa Rostam. Makamba ni Waziri wa Nishati. Mteule wa Rais.
Tumuweke mtu ambaye sio Mwanasiasa.
Hapokei Ushauri wa watu wa chini wala Maelezo ya Bodi.
Basi kama anaogopwa sababubya Spika, ahamishwe apelekww Kilimo.
EWURA imewekwa mtu kati. Nani atusemee Watanzania mbele ya matajiri hawa?
Tangu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Dk James Mwainyekule ambaye pia ni mume wa Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson akamate kiti hiki, Mafuta yamekuwa ya Tabu sana kupatikana.
Napendekeza aondolewe ili kuokoa taifa sababu Wanasiasa Marafiki zake wamemzidi maarifa.
Ukiacha kuwa mume wa Spika, ni rafiki Mkubwa wa Waziri Makamba. Makamba ni Rafiki wa Rostam. Makamba ni Waziri wa Nishati. Mteule wa Rais.
Tumuweke mtu ambaye sio Mwanasiasa.
Hapokei Ushauri wa watu wa chini wala Maelezo ya Bodi.
Basi kama anaogopwa sababubya Spika, ahamishwe apelekww Kilimo.
EWURA imewekwa mtu kati. Nani atusemee Watanzania mbele ya matajiri hawa?