Mume wa Spika Tulia kuwa Mkurugenzi EWURA, ni Mateso kwa taifa, Mafuta hayapatikani

dubu

JF-Expert Member
Oct 18, 2011
3,496
3,461
Je, Rostam Aziz kashamuweka Kiganjani?

Tangu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Dk James Mwainyekule ambaye pia ni mume wa Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson akamate kiti hiki, Mafuta yamekuwa ya Tabu sana kupatikana.

Napendekeza aondolewe ili kuokoa taifa sababu Wanasiasa Marafiki zake wamemzidi maarifa.

Ukiacha kuwa mume wa Spika, ni rafiki Mkubwa wa Waziri Makamba. Makamba ni Rafiki wa Rostam. Makamba ni Waziri wa Nishati. Mteule wa Rais.

Tumuweke mtu ambaye sio Mwanasiasa.

Hapokei Ushauri wa watu wa chini wala Maelezo ya Bodi.

Basi kama anaogopwa sababubya Spika, ahamishwe apelekww Kilimo.

EWURA imewekwa mtu kati. Nani atusemee Watanzania mbele ya matajiri hawa?
 
Je, Rostam Aziz kashamuweka Kiganjani?

Tangu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Dk James Mwainyekule ambaye pia ni mume wa Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson akamate kiti hiki, Mafuta yamekuwa ya Tabu sana kupatikana.

Napendekeza aondolewe ili kuokoa taifa sababu Wanasiasa Marafiki zake wamemzidi maarifa.

Ukiacha kuwa mume wa Spika, ni rafiki Mkubwa wa Waziri Makamba. Makamba ni Rafiki wa Rostam. Makamba ni Waziri wa Nishati. Mteule wa Rais.

Tumuweke mtu ambaye sio Mwanasiasa.

Hapokei Ushauri wa watu wa chini wala Maelezo ya Bodi.

Basi kama anaogopwa sababubya Spika, ahamishwe apelekww Kilimo.

EWURA imewekwa mtu kati. Nani atusemee Watanzania mbele ya matajiri hawa?
MAMA Spika
Baba EWURA
 
Nasema hili kwa nia njema kabisa. Mama kuhusu ishu ya mafuta nina uwakika hajui kua mafuta ni shida kubwa kwa sasa.
 
Je, Rostam Aziz kashamuweka Kiganjani?

Tangu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Dk James Mwainyekule ambaye pia ni mume wa Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson akamate kiti hiki, Mafuta yamekuwa ya Tabu sana kupatikana.

Napendekeza aondolewe ili kuokoa taifa sababu Wanasiasa Marafiki zake wamemzidi maarifa.

Ukiacha kuwa mume wa Spika, ni rafiki Mkubwa wa Waziri Makamba. Makamba ni Rafiki wa Rostam. Makamba ni Waziri wa Nishati. Mteule wa Rais.

Tumuweke mtu ambaye sio Mwanasiasa.

Hapokei Ushauri wa watu wa chini wala Maelezo ya Bodi.

Basi kama anaogopwa sababubya Spika, ahamishwe apelekww Kilimo.

EWURA imewekwa mtu kati. Nani atusemee Watanzania mbele ya matajiri hawa?
kilimo hatumtaki, apelekwe bungeni akawe katibu wa bunge mkewe akiwa spika. bunge lenyewe ni kama kurugenzi ya chama tu, atafaa huko.
 
Tatizo ni Ewura kama uwura!?
au tatizo Dr James Mwainyekule!?
Tatizo ni umume wa spika!?
Tatizo ni Spika!?
Tatizo ni umke wa mkurugenzi!?
Au tatizo ni dada Tulia Jackson!?

Kama vile siielewi maada
 
Je, Rostam Aziz kashamuweka Kiganjani?

Tangu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Dk James Mwainyekule ambaye pia ni mume wa Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson akamate kiti hiki, Mafuta yamekuwa ya Tabu sana kupatikana.

Napendekeza aondolewe ili kuokoa taifa sababu Wanasiasa Marafiki zake wamemzidi maarifa.

Ukiacha kuwa mume wa Spika, ni rafiki Mkubwa wa Waziri Makamba. Makamba ni Rafiki wa Rostam. Makamba ni Waziri wa Nishati. Mteule wa Rais.

Tumuweke mtu ambaye sio Mwanasiasa.

Hapokei Ushauri wa watu wa chini wala Maelezo ya Bodi.

Basi kama anaogopwa sababubya Spika, ahamishwe apelekww Kilimo.

EWURA imewekwa mtu kati. Nani atusemee Watanzania mbele ya matajiri hawa?
Mwenyewe yuko bize arudi jimboni 2025
 
Je, Rostam Aziz kashamuweka Kiganjani?

Tangu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Dk James Mwainyekule ambaye pia ni mume wa Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson akamate kiti hiki, Mafuta yamekuwa ya Tabu sana kupatikana.

Napendekeza aondolewe ili kuokoa taifa sababu Wanasiasa Marafiki zake wamemzidi maarifa.

Ukiacha kuwa mume wa Spika, ni rafiki Mkubwa wa Waziri Makamba. Makamba ni Rafiki wa Rostam. Makamba ni Waziri wa Nishati. Mteule wa Rais.

Tumuweke mtu ambaye sio Mwanasiasa.

Hapokei Ushauri wa watu wa chini wala Maelezo ya Bodi.

Basi kama anaogopwa sababubya Spika, ahamishwe apelekww Kilimo.

EWURA imewekwa mtu kati. Nani atusemee Watanzania mbele ya matajiri hawa?
kwanza ni wapi hapo hakuna mafuta, au unaokoteza viumbea vya husda, mwenyewe huna boda boda sheli ulienda kufanya nini. Wenzako wote PhD holders we unakuja huku na husda zako, uonage aibu. Ikitokea hitilafu kidogo sehemu flani mnakuja huku, mmeifanya JF jukwaa la walioshindwa maisha, wenye stress
 
Back
Top Bottom