Mama yako ana sura nzuri eheMke wake ana sura mbaya
Mama yako ana sura nzuri eheMke wake ana sura mbaya
DuuuhNa roho mbaya pia kama sura yake. Ila wanaume tuna kazi kubwa, sijui jamaa anapandishaje hisia
Ukishaona CV yake ndio itakusaidie nini ? embu tafakari muda unaopoteza humu kufuatilia wasifu wa wanaume wenzako ? JITAFAKARI aisee.We acha upuuzi bwana! Kiongozi wa taasisi ya umma kufahamika sio swala la hiari, ebo!
Cv yake itakupa mlo kwa siku ya leo ?je hata kama hana sifa husika sidhani kama unauwezo wa kufanya chochote ili kubadilisha hali halisiKama huna jibu kaa kimya acha kuchachawa kama umeingizwa pilipili!!
mrembo wangu kumbe weye nimzenji weye?Weye haikusaidii.Yeye na wengine itawasaidia.Mbona umechukia?Kwani nini mbaya na weye?
Wajinga ni kama wewe unaefuatilia sifa za mwanaume mwenzio ,hivi hata kama hana sifa unao uwezo wa kufanya lolote ili kubadilisha hali?sidhani kama unao huo uwezo ,na kama huna uwezo huo ,kwanini unapoteza muda wako ?JITAFAKARIWewe ni moja kati ya watu wajinga sana kwenye taifa hili. Ptuuuuuu mate usoni
Kwa hiyo imekusaidi nini kwenye maisha yako baada ya kufahamu wasifu wa mwanume mwenzio ?Asante sana kwa ufafanuzi muruwa
Kufuatilia maisha ya wanaume wenzio wewe unaona ni jambo jema?Weye haikusaidii.Yeye na wengine itawasaidia.Mbona umechukia?Kwani nini mbaya na weye?
Angeamua kuoa mwenye sura nzuri na tako sasa hivi asingekuwa mkurugenziMke wake ana sura mbaya
Kwa hiyo kufahama wasifu wa mwanaume mwenzio ndio UZALENDO?Hiyo ndio maana ya uzalendo kwa taifa lako na watu wake🤔
Hahahahaaaa!Vibaya ni kumfuatilia mtu yeyote kwa nia ovu.Kapata uteuzi mkubwa.Watu wametaka kumfahamu ili wapate miongozo.Elimu yake,umri,maisha yake nk.Inasaidia kukupa ari ya kupata maendeleo zaidi.Kufuatilia maisha ya wanaume wenzio wewe unaona ni jambo jema?
hivi nafikiri kuwa jamaa pisi Kali hazitaki?kweli?nazani amefumba macho malengo yake yaende🤣🤣sio kwakibibi hichooo maamae🤣🤣🤣nahapo kimejipodoa sipati picha kinapo amka asubuhi kabla hakijanawa japo usoo🤣🤣🤣
Shida waweza kuwa mwanachukua chako mapema 😂Kwa hiyo kufahama wasifu wa mwanaume mwenzio ndio UZALENDO?
Ni mume Tulia hiyo ndio sifa kuu na muhimu.Bila shaka kujua wasifu wa Mtumishi yeyote wa EWURA hasa kwa vile ni Mtumishi wa Umma si kosa kisheria.
Basi na mimi kama raia wa Tanzania ningepependa kufahamu wasifu wa mtumishi huyu wa nchi yangu
Naomba kuwasilisha.
Lakini kwake yeye anamuona ni mzuri sana na ndiyo maana akamuoa.Hata wewe inawezekana kabisa mke/mchumba wako unamuona ni pisi kali,wengine wanamuona ni mbaya.Mke wake ana sura mbaya
Mwanamke mwenye akili bila busara ni Ujinga tuFunzo: Usioe mwanamke kwa kuangalia sura/trac
Oa mwanamke mwenye akili
Yule mkurugenzi sliteuliwa juz juz hapa katenguliwa kumpisha mume wa tulia,?Ni kijana mmoja Handsome,Msomi toka wilaya ya rungwe,kabobea kwenye uhasibu na mambo ya fedha ni CPA T,MBA na Phd
Ni mume wa Dr. Tulia Ackson Mwansasu,spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania
Karibu kalumbu wa kajunjumele
Kakabe nafasi uwa hta mchepuko tu yawezekana ukawa boss.Duuh! Cheo huenda kwa wenye vyeo tu. Mm Sexless nitajiju.