Unafuatilia CV ya mwanaume mwenzako ili akufanyie nini ?au unataka kwenda kuhamia kwake kabisa ?Kama huna jibu kaa kimya acha kuchachawa kama umeingizwa pilipili!!
Unafuatilia CV ya mwanaume mwenzako ili akufanyie nini ?au unataka kwenda kuhamia kwake kabisa ?Kama huna jibu kaa kimya acha kuchachawa kama umeingizwa pilipili!!
Duuh! Cheo huenda kwa wenye vyeo tu. Mm Sexless nitajiju.Ni mume wa ndoa wa Spika Ackson Tulia. Shule ipo kichwani
Wacha weee !!
wewe tuwekee hao wengine , sisi tumeguswa na huyuHao wateule wengine mnafahamu wasifu wao? Kwa Nini huyu tu
Tunakoelekea Wachache wanagawana nchi.
Na iwapo 2025 vijana watakosea, Hali Idadi kuwa mbaya sana
Ya chadema yamewashinda sasa mnaanza kufuatilia maisha ya watu
Na roho mbaya pia kama sura yake. Ila wanaume tuna kazi kubwa, sijui jamaa anapandishaje hisiaMke wake ana sura mbaya
OK basi kama ni hivyo sawa😂Kwanza,anakuwa kajua.Pili,anakuwa kajua hutomdanganya tena.Tatu,atakuwa amejua hutomdanganya tena kumjua.
Bila shaka kujua wasifu wa Mtumishi yeyote wa EWURA hasa kwa vile ni Mtumishi wa Umma si kosa kisheria.
Basi na mimi kama raia wa Tanzania ningepependa kufahamu wasifu wa mtumishi huyu wa nchi yangu.
Naomba ku
Busara zaidi umfuate ofisini kwake EWURA akupatie CV yake. Binafsi sioni mantiki yake hapa ya nini zaidi ya kutaka kuanza kujadili watu na majungu tu.Bila shaka kujua wasifu wa Mtumishi yeyote wa EWURA hasa kwa vile ni Mtumishi wa Umma si kosa kisheria.
Basi na mimi kama raia wa Tanzania ningepependa kufahamu wasifu wa mtumishi huyu wa nchi yangu.
Naomba kuwasilisha.
Nyama gani tena mkuu inatosha kwa HiloJazia jazia nyama kidogo mkuu
Ndio wanaume wa Tanznia wamefikia hatua ya kufuatilia maisha ya wanaume wenzao ,hiki kizazi sio kabisaBusara zaidi umfuate ofisini kwake EWURA akupatie CV yake. Binafsi sioni mantiki yake hapa ya nini zaidi ya kutaka kuanza kujadili watu na majungu tu.
Kwani Lema ni Mkurugenzi wa kampuni gani.... Tukumbushe, tafadhari.Ya chadema yamewashinda sasa mnaanza kufuatilia maisha ya watu .Embu turushieni CV ya Lema hapa
Bila shaka kujua wasifu wa Mtumishi yeyote wa EWURA hasa kwa vile ni Mtumishi wa Umma si kosa kisheria.
Basi na mimi kama raia wa Tanzania ningepependa kufahamu wasifu wa mtumishi huyu wa nchi yangu.
Naomba kuwasilisha.
Ba
ukishafanya hivyo ndio familia yako itakuwa imeshiba ?
Ni lazima kumjua ambaye anakwenda kusimamia mali zetu wananchi! Kama kwako sio muhimu kaa kimya usihangaike kama yai linataka kukutoka!Unafuatilia CV ya mwanaume mwenzako ili akufanyie nini ?au unataka kwenda kuhamia kwake kabisa ?
Jamaa ana PhD ya Finance kwenye masuala ya Energy. Amesoma masters USA ana CPA.
Ana CV nzuri tu basi kahamie kwakeBila shaka kujua wasifu wa Mtumishi yeyote wa EWURA hasa kwa vile ni Mtumishi wa Umma si kosa kisheria.
Basi na mimi kama raia wa Tanzania ningepependa kufahamu wasifu wa mtumishi huyu wa nchi yangu.
Naomba kuwasilisha.