Kapyungu A
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 3,499
- 3,167
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hata ukiniandika huku, nimesha sema sitoi hela.....[emoji135] [emoji135]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hata ukiniandika huku, nimesha sema sitoi hela.....[emoji135] [emoji135]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Muulize kana namuombaga...[emoji34]
Na akikubali, nitatembea bila nguo tokea Ushirombo hadi Chato...[emoji12]
Hahaaa hahahaaa ... anaomba assist kama naniliu yule mzee wa assist ukimpa tu anakuchunia. Kajigeuza Ronaldo anaomba Assist toka kwa Gareth Bale..!That is a gentleman....usawa huu....unataka assist hata hatuja Juana vizuri.
Usirudie tena hiyo mistake.
Wala hujanielewa.Basi na wenzio wanataka hivyo hivyo, chako chake[emoji12]
Mi navyoona mwanamke anapaswa kupewa bila kuomba so kama haya yanatokea .I've nothing to say.Ni akili zenu mmeziweka negative tu.
Mazingira yapi saa? Maana mazingira yanatofautiana. Basimkianzisha mahusiano muwe mnakuwa clear umuelezee mwenzio kuwa "mazingira yafuatayo ndio nitayaelewa ukiniomba pesa".
Amesema unamuomba na hata nyumba mnayoishi ni ya mkweo[emoji85] [emoji85]Muulize kana namuombaga...[emoji34]
Na akikubali, nitatembea bila nguo tokea Ushirombo hadi Chato...[emoji12]
Si ndio hapo sasa.eti wapange kuonana labda jamaa ana nyege zake huko.mwisho anamwambia siji nimepata tatizo nitumie pesa.hahahhahahha wachache wataweza kumuelewa. Usawa wenyewe huu wa magufuli.duh!Labda ulikuwa una tatizo kweli!wakati wa uitaji iyo ela ndio tatizo!bora ungefika eneo ka tukio na kuomba ela..vinginevyo...!
Sikatai labda wapo.but not me.siombi mimi huwa nataka kama ninajua mkewangu anayo.na ninapewa.
Sijakuelewa kivipi? We si ukiwa na shida unataka, na mkeo akiwa nayo anakupa right? Sasa na huyu nae kapata shida akataka mpenzi wake amsaidie.Wala hujanielewa.
Safi sana.Mi navyoona mwanamke anapaswa kupewa bila kuomba so kama haya yanatokea .I've nothing to say.
That's what you meant! And this isn't a question.... So am supposed not to answer.Akili yako imewaza mgegedo tu maana ndipo ilipoishia!!!
Hapo mwenye mentality mbovu ni nani sasa!
Kwa kauli zako unaonekana ni muuza K, kama kweli ulimpenda kwa dhati ungetafuta any means ya kumtafuta ili muongee kuhusu lililotokea.Aende tu
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Amesema unamuomba na hata nyumba mnayoishi ni ya mkweo[emoji85] [emoji85]
Alafu hii tabia ya kua unanitolea siri za ndani.... Misipendi ujue....[emoji25] [emoji25]Amesema unamuomba na hata nyumba mnayoishi ni ya mkweo[emoji85] [emoji85]
Inaonekana ulitaka jamaa akutumie hela then uanze kumpa visababu vya uongo na kumpiga kalenda. Hizo mbinu siku hizi wengi wanazijua.Aende tu
Am responsible for wht i write, what you understand is up to you.That's what you meant! And this isn't a question.... So am supposed not to answer.
Roho mbaya indeed.Yaan huu uzi wanaume mtauchangia sana kwasababu wengi wenu kwenye swala la pesa ni wabinafsi, roho mbaya na ubahili juu.
Akuuuu!! Ubakie huko huko, yeye ndio anakuweza.Alafu hii tabia ya kua unanitolea siri za ndani.... Misipendi ujue....[emoji25] [emoji25]
Onasasa hapa ukweni kuna lijamaa limo humu, kumbe huwa linanifuatilia na sasa hata haka kaboma ka hapa ushirombo naona wanakaribia kunitupia mifuko ya Rambo na nguo zamimi kwenye hadhara.....[emoji17] [emoji17] [emoji17]
Nikifukuzwa nakuja kubebika kwako huko daslam....[emoji13] [emoji13]