Mfano kwenye tangazo la ajira linataka Data Analyst ila kwenye qualification wameandika Bachelor degree ila mimi nina Masters
Je, nitakuwa disqualified kwa ku orodhesha kuwa ngazi yangu kubwa ya elimu ni Masters au katika kufanya maombi nisiseme kuwa nina Masters nionyeshe tu nina Bachelor (kitu ambacho itakuwa ni udanganyifu) ili kuweza ku secure hiyo nafasi
Pia nimepitia baadhi ya sehemu mtandaoni wanasema wakati mwingine waajiri wanaogopa kuwaajiri wenye ngazi kubwa ya elimu kwa kuwa wapo over qualified na hawataweza kuwalipa mshahara wanaostahili kutokana na bajeti yao (Ila mimi nipo tayari wanipe huo huo mshahara wa Bachelor ilimradi nikuze ujuzi wangu pia ni deliver results kwa mwajiri wangu)
Naomba msaada kufahamu how it works
Asante
Je, nitakuwa disqualified kwa ku orodhesha kuwa ngazi yangu kubwa ya elimu ni Masters au katika kufanya maombi nisiseme kuwa nina Masters nionyeshe tu nina Bachelor (kitu ambacho itakuwa ni udanganyifu) ili kuweza ku secure hiyo nafasi
Pia nimepitia baadhi ya sehemu mtandaoni wanasema wakati mwingine waajiri wanaogopa kuwaajiri wenye ngazi kubwa ya elimu kwa kuwa wapo over qualified na hawataweza kuwalipa mshahara wanaostahili kutokana na bajeti yao (Ila mimi nipo tayari wanipe huo huo mshahara wa Bachelor ilimradi nikuze ujuzi wangu pia ni deliver results kwa mwajiri wangu)
Naomba msaada kufahamu how it works
Asante