basi wewe ni BIBILIAMods naomba muuache ujumbe huu uwafikie wana MMU wengi.
Limeibuka kundi la watu wengi humu ndani wamenipachika jina la 7800/= na wengine wengine wananiita "BAHARIA WA 7800/="
Ndugu zangu mimi siitwi 7800/= na wala mimi sio baharia kabisa ila mimi naitwa MAGALLAH R.
Naomba ID yangu izingatiwe. Ninasistiza tena mimi sio "BAHARIA WA 7800/=. Nadhani tumeelewana. PUUUUUUUMBAVU SANA.
ila ni mke wa baharia?Narudia mkuu "MIMI SIO BAHARIA WA 7800/=
Umeamua ujitambulishe bahariaMods naomba muuache ujumbe huu uwafikie wana MMU wengi.
Limeibuka kundi la watu wengi humu ndani wamenipachika jina la 7800/= na wengine wengine wananiita "BAHARIA WA 7800/="
Ndugu zangu mimi siitwi 7800/= na wala mimi sio baharia kabisa ila mimi naitwa MAGALLAH R.
Naomba ID yangu izingatiwe. Ninasistiza tena mimi sio "BAHARIA WA 7800/=. Nadhani tumeelewana. PUUUUUUUMBAVU SANA.
Hahahaha ,apige hela kwa kuanzia aingie tovuti ya brela asajiri km business nameHilo jina ungelitafutia copyright kabisa ukalitumia kibiashara
Kama analipia uber viletunakuita kwa mara ya mwisho 'baharia wa 7800',
ila mtoa mada ni kiboko, yn mwanza to dar unatoa 7800.! aise kweli papuchu imeshuka thamani,
tunakuita kwa mara ya mwisho 'baharia wa 7800',
ila mtoa mada ni kiboko, yn mwanza to dar unatoa 7800.! aise kweli papuchu imeshuka thamani,
Kausha mwana... Ukionesha paniki ndio watazidi kukoleza moto... Wee kausha tu.. Hili nalo litapita kama mengine yoteMods naomba muuache ujumbe huu uwafikie wana MMU wengi.
Limeibuka kundi la watu wengi humu ndani wamenipachika jina la 7800/= na wengine wengine wananiita "BAHARIA WA 7800/="
Ndugu zangu mimi siitwi 7800/= na wala mimi sio baharia kabisa ila mimi naitwa MAGALLAH R.
Naomba ID yangu izingatiwe. Ninasistiza tena mimi sio "BAHARIA WA 7800/=. Nadhani tumeelewana. PUUUUUUUMBAVU SANA.
Kwamba baharia wa buku saba mia nane
Lilianzia wapi mkuu baharia wa 7800
cutelove thibitisha kama ashakutumia zaidi ya hela aliyokuachia 7800 baada ya kukudinya usiku kucha. Lakini cutelove kabla ya kutujibu tueleze huko Namongo na Sirari ulipata zaidi ya 7800 na kama ulipata, je huyu wa DAR ulimkatia ngapi?Mods naomba muuache ujumbe huu uwafikie wana MMU wengi.
Limeibuka kundi la watu wengi humu ndani wamenipachika jina la 7800/= na wengine wengine wananiita "BAHARIA WA 7800/="
Ndugu zangu mimi siitwi 7800/= na wala mimi sio baharia kabisa ila mimi naitwa MAGALLAH R.
Naomba ID yangu izingatiwe. Ninasistiza tena mimi sio "BAHARIA WA 7800/=. Nadhani tumeelewana. PUUUUUUUMBAVU SANA.