Naomba ID yangu iheshimiwe tafadhali

Naomba ID yangu iheshimiwe tafadhali

Kwamba baharia wa buku saba mia nane

Lilianzia wapi mkuu baharia wa 7800
 
Mwamba wa bei elekezi...mm nataka nimlete mtu kutoka morogoro tu hebu niambie anatakiwa apewe sh ngapi maana wa mwanza anapewa 7800. Tumia kikokotoo chako nisije toa pesa nyingi
cross multiplication against real nauli

50,000=7800
8,000=?
 
7800 itapendeza zaidi.
MAGALLAH R usichukie kaka, majina kama hayo huwa yanakuja na kuondoka, ukichukia na kukasirika ndio yanakuwa bora potezea tu!
 
Mwamba wa bei elekezi...mm nataka nimlete mtu kutoka morogoro tu hebu niambie anatakiwa apewe sh ngapi maana wa mwanza anapewa 7800. Tumia kikokotoo chako nisije toa pesa nyingi
 
Unali-promote jina lako jipya la baharia wa 7800
 
Hivi watu wanaojiita mabaharia wanajua upande mwingine wa hilo jina maana yake au?
 
Mie nikikumbuka eti "ukaweka simu yako alarm".......
Sakayo nakazia kauli mbiu yako, Wanawake tuipinge 7,800/= kwa vitendo! hahahahaahahaha
 
Hivi watu wanaojiita mabaharia wanajua upande mwingine wa hilo jina maana yake au?
.
IMG_20190910_143107.jpeg
 
Mwamba wa bei elekezi...mm nataka nimlete mtu kutoka morogoro tu hebu niambie anatakiwa apewe sh ngapi maana wa mwanza anapewa 7800. Tumia kikokotoo chako nisije toa pesa nyingi

4500
 
Mods naomba muuache ujumbe huu uwafikie wana MMU wengi.

Limeibuka kundi la watu wengi humu ndani wamenipachika jina la 7800/= na wengine wengine wananiita "BAHARIA WA 7800/="

Ndugu zangu mimi siitwi 7800/= na wala mimi sio baharia kabisa ila mimi naitwa MAGALLAH R.

Naomba ID yangu izingatiwe. Ninasistiza tena mimi sio "BAHARIA WA 7800/=. Nadhani tumeelewana. PUUUUUUUMBAVU SANA.
sawa wa baharia wa 7800/=
 
Back
Top Bottom