Naogopa mwanamke mwenye mabakabaka miguuni

Naogopa mwanamke mwenye mabakabaka miguuni

Wanawake wengine unakuta ni vipodozi wanavotumia kuondoa rangi nyeusi so unakuta vinamuachia mabaka usoni miguuni na kumfanya awe mwekundu kama jipu linalotumbuliwa.
 
Kusema mabaka ni kuumwa au aliuguaga ukoma si dhan km hukumu hiyo ipo mahal pake.

Lzm ujue,uchunguze kwa sir kuwa yametokana na nn mabaka hayo.

Ila kipendacho roho

Yani kumtamani tu mtu then uanze kujua historia, historia baadae kama ukizama, angalizo tembea na boya usizame kila sehemu
 
Wazee wetu zamani walikuwa na utaratibu wa kuwapeleka mabinti zao unyagoni na kweli tuliyaona matunda yake kwani mabinti wa zamani walikuwa wasafi na wenye kujistiri maungo yao......ilikuwa huwezi kujutia kulala na binti aliyepitia unyagoni.....lakini mabinti wa miaka hii ni kero badala ya raha pindi muwapo faragha.....na hii ni ishara kuwa kuna mahali tumekosea katika malezi ya mabinti wa sasa......
Huwa inashangaza unakuta mtu badala ya kutumia maji kujisafisha badala yake wanatumia makaratasi yanayoitwa toilet papers....sasa kwa akili ya kawaida ile karatasi inasafisha au inapakaza uchafu...!!.....

Sasa kwa akili ya kawaida kama binti anashindwa kuujali mguu wake unaonekana anaweza vipi kuutunza utupu wake usionekana.....???!!!
 
Kuna manzi nlikuwaga nae ana mabakabaka eti alikula kondoo akamkataa...
Basi washkaji walikuwa wanamwita Paka madonda. Ni kwikwi...
 
Wazee wetu zamani walikuwa na utaratibu wa kuwapeleka mabinti zao unyagoni na kweli tuliyaona matunda yake kwani mabinti wa zamani walikuwa wasafi na wenye kujistiri maungo yao......ilikuwa huwezi kujutia kulala na binti aliyepitia unyagoni.....lakini mabinti wa miaka hii ni kero badala ya raha pindi muwapo faragha.....na hii ni ishara kuwa kuna mahali tumekosea katika malezi ya mabinti wa sasa......
Huwa inashangaza unakuta mtu badala ya kutumia maji kujisafisha badala yake wanatumia makaratasi yanayoitwa toilet papers....sasa kwa akili ya kawaida ile karatasi inasafisha au inapakaza uchafu...!!.....

Sasa kwa akili ya kawaida kama binti anashindwa kuujali mguu wake unaonekana anaweza vipi kuutunza utupu wake usionekana.....???!!!

Marehemu bibi yangu aliniambia sikuhizi maadili yamekwisha, kwanza mtoto wa kike hatakiwi kula mbele ya wanaume. Ni aibu kumuona mwanamke anakula. Wanawake walikula wote either jikoni au chumbani. Hata upewe kitu cha kula mtoto wa kike unakistiri mpaka utakapo pata faragha.
Bibi akaniambia lakini siku hizi mnakula barabarani, mtoto wa kike unapelekwa kwenye mgahawa unanunuliwa chips, utazilipaje kama sio kupelekwa guest house. Matokeo yake bikira mnaziachia huko huko.

My take unyago ulifundisha mengi.
 
Yaani pipi ile ambayo ina mti au kijiti wakati ualambalamba unashika hiko kijiti halafu unanyonya kuzungurusha mdomoni,tena ziko zenye ladha ya machungwa,parachichi,asali na zingine zina ladha fenesi na togwa.
Sawa...Nazisubiri bas
 
Mabaka miguuni ni ishara kuwa aliugua ugonjwa Fulani lakini si dhahiri kuwa bado anaumwa.
Na heri ya huyo ambaye homa/ugonjwa ulitoka nje na kutibiwa, kuliko wale wale wenye ugonjwa ndani.
Na wengine waliugua Mkanda wa jeshi.........!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom