Naogopa mwanamke mwenye mabakabaka miguuni

Naogopa mwanamke mwenye mabakabaka miguuni

Wazee wetu zamani walikuwa na utaratibu wa kuwapeleka mabinti zao unyagoni na kweli tuliyaona matunda yake kwani mabinti wa zamani walikuwa wasafi na wenye kujistiri maungo yao......ilikuwa huwezi kujutia kulala na binti aliyepitia unyagoni.....lakini mabinti wa miaka hii ni kero badala ya raha pindi muwapo faragha.....na hii ni ishara kuwa kuna mahali tumekosea katika malezi ya mabinti wa sasa......
Huwa inashangaza unakuta mtu badala ya kutumia maji kujisafisha badala yake wanatumia makaratasi yanayoitwa toilet papers....sasa kwa akili ya kawaida ile karatasi inasafisha au inapakaza uchafu...!!.....

Sasa kwa akili ya kawaida kama binti anashindwa kuujali mguu wake unaonekana anaweza vipi kuutunza utupu wake usionekana.....???!!!
Mkuu umenena
 
Kuna mmoja aliniambia ukiona mwanamke anamabaka mabak Meusi Miguun tena mengi mengi ujue anatumia ARV
 
Ninyi ndo mnapima kwa macho kwa hiyo miguu tu kuwa na mabaka ndo uhitimishe mtu anaumwa
Na hata kama akiumwa kwani ni dhambi? Yeye mwenyewe ana uhakika hatapata kasoro adi kifo? Ata kifo chenyewe atakufaje?? Anasema non sense
 
Kuna mmoja aliniambia ukiona mwanamke anamabaka mabak Meusi Miguun tena mengi mengi ujue anatumia ARV
Je wanaume wao huwa yanawatokea sehemu gani? Wengi wanakimbiliaga kujudge ARV na akati ye mwenyewe ukimwambia tukacheck anakata mawasliano mmxxxfyuuu shenzi zao
 
Na hata kama akiumwa kwani ni dhambi? Yeye mwenyewe ana uhakika hatapata kasoro adi kifo? Ata kifo chenyewe atakufaje?? Anasema non sense
Atakuwa ye ana uhakika na maisha yake yajayo
 
Wengi wanakuwa au waliwahi kuumwa ugonjwa mbaya sana
 
Ukiwa unaongea nae macho yanaangalia sura au miguu? Ukimpenda mshauri avae nguo ndefu.
Hapo ni kabla hata hajatongozwa lazima uthaminishe kwanza kila angle sasa nikikuta miguu ina mabakabaka nakimbia fasta.
 
Hii thread imenifanya nianze kujikagua miguu,vibaya jamaniiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
hata huku mtaani mtu akiwa na hayo mabaka tunayaita mapancha bas watu lazma wawe na shaka na wewe huenda una ugonjwa,hata mimi huwa nayaogopa kwa kweli niache niseme ukweli though magonjwa ya ngozi ni mengi,lakin kwa mtu mzima kuwa na zle pancha/madoadoa miguuni me nawaza mengine.
 
Natafuta mchumba mwenye mabaka miguuni km yupo pm pleaseeee! Tena yale ya kuanzia mapajani yatapewa kipaumbeleeee....
 
Wadau,

Mwenzenu nikithaminisha msichana naangalia uso,wezere na miguu kwanza. Sasa kuna wengine usoni wamejipamba ni full kung'aa ila sasa miguu haiongopi. Unakuta mdada ana mabakabaka basi nikishaona hivyo tu mzuka wote unapotea nahisi huyo mtu atakua anaumwa.

Wenzangu sijui mnalionaga hili au ni mm tu.
Hujafa hujaumbika muombe sana Mungu wako na wewe usipate kilema watu wakakucheka hao wenzio hawakupenda kuwa hivyo. Unyanyapaa mbaya lakini malipo yake ni hapa hapa duniani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom