Naogopa mwanamke mwenye mabakabaka miguuni

Naogopa mwanamke mwenye mabakabaka miguuni

Wadau mwenzenu nikithaminisha demu naangalia uso,wezere na miguu kwanza. Sasa kuna wengine usoni wamejipamba ni full kung'aa ila sasa miguu haiongopi. Unakuta mdada ana mabakabaka basi nikishaona hivyo tu mzuka wote unapotea nahisi huyo mtu atakua anaumwa. Wenzangu sijui mnalionaga hili au ni mm tu.
Magaga yanatokana na aina ya ngozi ngumu ya kwenye nyayo na wala si ugonjwa wala uchafu.
 
Madoa meusi miguuni inaweza kuwa dalili ya HIV.
 
Duuh!! Labda alikuwa mtundu sana akiwa mtoto kwa hiyo ana makovu ya kuumia
 
Panya Mabaka.
Maana Siku Izi Kuwaita Chura Nasikia Kosa La Jinai.
 
Wazee wetu zamani walikuwa na utaratibu wa kuwapeleka mabinti zao unyagoni na kweli tuliyaona matunda yake kwani mabinti wa zamani walikuwa wasafi na wenye kujistiri maungo yao......ilikuwa huwezi kujutia kulala na binti aliyepitia unyagoni.....lakini mabinti wa miaka hii ni kero badala ya raha pindi muwapo faragha.....na hii ni ishara kuwa kuna mahali tumekosea katika malezi ya mabinti wa sasa......
Huwa inashangaza unakuta mtu badala ya kutumia maji kujisafisha badala yake wanatumia makaratasi yanayoitwa toilet papers....sasa kwa akili ya kawaida ile karatasi inasafisha au inapakaza uchafu...!!.....

Sasa kwa akili ya kawaida kama binti anashindwa kuujali mguu wake unaonekana anaweza vipi kuutunza utupu wake usionekana.....???!!!
Tusipotumia toilet papers tutumie nini,ujitawaze na maji afu usijikaushe?
 
ya
Na wengine waliugua Mkanda wa jeshi.........!
wezekana ila si lazima. Na Mkanda wa jeshi haushambulii miguu kama ukiwahiwa. Ila Kaswende and the like can contribute much to mabakabaka miguuni they said.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom