Naogopa mwanamke mwenye mabakabaka miguuni

Naogopa mwanamke mwenye mabakabaka miguuni

Marehemu bibi yangu aliniambia sikuhizi maadili yamekwisha, kwanza mtoto wa kike hatakiwi kula mbele ya wanaume. Ni aibu kumuona mwanamke anakula. Wanawake walikula wote either jikoni au chumbani. Hata upewe kitu cha kula mtoto wa kike unakistiri mpaka utakapo pata faragha.
Bibi akaniambia lakini siku hizi mnakula barabarani, mtoto wa kike unapelekwa kwenye mgahawa unanunuliwa chips, utazilipaje kama sio kupelekwa guest house. Matokeo yake bikira mnaziachia huko huko.

My take unyago ulifundisha mengi.

Bila ya shaka wewe umepitia unyago.....
 
duh ngoja niende kwa dulla muosha miguu
 
Jaman mabaka mengine yanatokana na utundu walivokuwa wadogo,walikimbizana na ile michezo ya kitoto wanaumia na vidonda au michubuko ikipona wengine hubak na alama..Kibaya zaid hamjui kutofautisha mabaka,makovu na alama za kuumia.Ukiona makovu maybe aliumia kama vile kuchanika na kukipona ndo kunabaki kovu,ukiona alama jua aliumia labda kawaida akatokwa na kidonda ndo kilivopona kikaacha alama nyeusi,ukiona hayo mabaka labda ana ugonjwa wa ngozi..Hata watu wenye sickle cell anaemia wanatokwaga na mabaka...Jifunzeni kutofautisha Na pia kaka kama hujampenda huyo dada nenda kimya tu kwani hii mialama miguuni wengine utoton tumeishi maisha ya uswahili magumu plus vipigo vya mama wa kambo...Hatukupenda.
Mdharau mwanamke asiejikubali kwa kujichubua mwisho anakuwa na miguu meupee but alama za kuumia hazitoki ndo anakuwq ka ndizi mzuzu za kubanika!ni hayo tu
Naomba nitoboe. Kuna vidonda tuvipatavyo wenye ukimwi. Wengi wanadhani kujichubua Kunaondoa hayo mabaka. Jamaa yupo katika Ukimwi
 
Bila ya shaka wewe umepitia unyago.....
KWA bahati mbaya hakufuata maagizo ya bibi Na bikra iliondoka guest house akiwa Na miaka 15. Sasa huko uingereza anaposomea medicine at 30 years hakumbuki ni chokola yupi aliitoa
 
KWA bahati mbaya hakufuata maagizo ya bibi Na bikra iliondoka guest house akiwa Na miaka 15. Sasa huko uingereza anaposomea medicine at 30 years hakumbuki ni chokola yupi aliitoa

Samahani mkuu....lakini sidhani kama ilikupasa wewe ujibu hilo swali.....!!
 
Paka madonda??????wanaume nyie ni nyoko haki tena hahahahahahahahahha
Acha tu tena ilikuwa boarding school xo mi nlifumba macho coz nlikuwa nafuliwa mpaka bei ya sabuni nlikuwa sijuagi. Nikila msosi anaondoka na vyombo kwenda kuosha....
 
duh ngoja niende kwa dulla muosha miguu
Usiende maana aliyeanzisha sred ndiye huyo, anataka uende akikusugua hiyo miguu uhanga ukupande ile apate free k. Maana anajua ukusuguliwa miguu uhanga unakupanda hakuna mfanowe
 
Usiende maana aliyeanzisha sred ndiye huyo, anataka uende akikusugua hiyo miguu uhanga ukupande ile apate free k. Maana anajua ukusuguliwa miguu uhanga unakupanda hakuna mfanowe
na wanasugua vizuri hao yaani waacheni kina dulla waosha miguu ni hatari sana.
 
Nadhani itabidi nijifunze kufanya kazi hiyo ila mapato yake unayajuwa?
mapato mazuri maanake mie nikienda na 10000 naoshwa na kupakwa rangi kabisa na vifaa kazi siyo vya gharama, hivyo mapato nina imani hakosi faida ya 50-80k per day.
 
mapato mazuri maanake mie nikienda na 10000 naoshwa na kupakwa rangi kabisa na vifaa kazi siyo vya gharama, hivyo mapato nina imani hakosi faida ya 50-80k per day.
Mwisho WA free k kwa mashangingi ni nini unajuwa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom