Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Chadema Wana ideas zilizopangika na zinazofanikiwa bila kuhitaji nguvu ya ziada wala dola. Kitendo Cha kutumia mitandao iliyounganishwa na screen za TV zilizopo majumbani kumetoa fursa watu kutambua nguvu ya technology.
Ubunifu huu unaendelea kufanya CCM ionekane dhaifu na chama Cha wazee.
Lakini niombe tujue Nani yupo nyuma ya mikakati Hii?
Ni watoto wetu waliohitimu Shule na vijana wa CCM?
Ni mabeberu au ni wananchi wazalendo?
Ubunifu huu unaendelea kufanya CCM ionekane dhaifu na chama Cha wazee.
Lakini niombe tujue Nani yupo nyuma ya mikakati Hii?
Ni watoto wetu waliohitimu Shule na vijana wa CCM?
Ni mabeberu au ni wananchi wazalendo?