Andre-Pierre
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 328
- 1,209
“Wana CCM hatuaminiani ndio maana ukiacha glass ya maji ukatoka nje ukirudi huwezi kuinywa” - Jakaya Mrisho Kikwete wa Msoga.
Nimeanza kumnukuu aliyepata kuwa mwenyekiti wa ccm, Mzee Kikwete kuhusu hali ya kutoaminiana baina ya wanachama wa chama hiko.
Huko katika mtandao wa X zamani twitter, kuna baadhi ya wadau wanamshambulia Katibu Mkuu wa CCM ndugu Daniel Chongolo kwa tuhuma mbalimbali.
Wameenda mbali zaidi wakitaka avuliwe uongozi lakini kwa tuhuma zinazoonekana za kupika.
Je, Chongolo kachokwa ndani ya Chama? Nani yupo nyuma ya mpango wa kumuondoa Chongolo kwa fitna huko chamani?
Nimeanza kumnukuu aliyepata kuwa mwenyekiti wa ccm, Mzee Kikwete kuhusu hali ya kutoaminiana baina ya wanachama wa chama hiko.
Huko katika mtandao wa X zamani twitter, kuna baadhi ya wadau wanamshambulia Katibu Mkuu wa CCM ndugu Daniel Chongolo kwa tuhuma mbalimbali.
Wameenda mbali zaidi wakitaka avuliwe uongozi lakini kwa tuhuma zinazoonekana za kupika.
Je, Chongolo kachokwa ndani ya Chama? Nani yupo nyuma ya mpango wa kumuondoa Chongolo kwa fitna huko chamani?