Nani yuko macho tupige stori?

Nani yuko macho tupige stori?

Teh teh mziki mkubwa...si unaniona na air phone zangu nalinda huku najivinjari na cow boys...country music hoyee si unaona nna ule mkofia wa duara billy

yeah nimekuona km ingekuwa kazi basi hiyo apptitude test ushapita saa nyingi Nambe.
 
Last edited by a moderator:
yeah nimekuona km ingekuwa kazi basi hiyo apptitude test ushapita saa nyingi Nambe.

Teh teh teh leo nimejitahidi sijatupia kiroba....subiri kesho mwanzo wa weekend.. billy
 
Last edited by a moderator:
habari zenu wapenzi. natamani sana kupiga story, lakini afya mgogoro. kila la kheri.
 
Alafu humu ndani leo nina kesi na nyie,subirini wengine waamke mnieleze vizuri.....kwanza aliekula share yangu jana ajiandae kwa maelezo ya kina
 
Alafu humu ndani leo nina kesi na nyie,subirini wengine waamke mnieleze vizuri.....kwanza aliekula share yangu jana ajiandae kwa maelezo ya kina

Hapo mie sipoo....
Mi nlikuwa wa kwanza kula jikoni....
Muulize billy ndio alikuwa anasifia mno msosi....
Halafu hata Jerrymsigwa alikuwa anapotea potea mno jana anaweza akahusika na hili...
Ila
 
Last edited by a moderator:
Hapo mie sipoo....
Mi nlikuwa wa kwanza kula jikoni....
Muulize billy ndio alikuwa anasifia mno msosi....
Halafu hata Jerrymsigwa alikuwa anapotea potea mno jana anaweza akahusika na hili...
Ila
Nambe inabidi uwe mwenyekiti wa wakeshaji-tisha sana wewe
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Valentina mi nilikula share ya Jawilat ila nilipozunguka kuwatafta mje mle nikawakosa nikaonja share yako kidogo ila sikuchukua nilipewa na farkhina.

Alafu humu ndani leo nina kesi na nyie,subirini wengine waamke mnieleze vizuri.....kwanza aliekula share yangu jana ajiandae kwa maelezo ya kina
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom