mi sitaosha kwa leo coz nina lindo mbili ila nkisharudisha silaha ntarudi kusafisha mke dah chakula cha leo kitamu farkhina umeweka nini
Sukari🙄🙄🙄🙄
Last edited by a moderator:
mi sitaosha kwa leo coz nina lindo mbili ila nkisharudisha silaha ntarudi kusafisha mke dah chakula cha leo kitamu farkhina umeweka nini
Labeik...
mbona chakula kitamu hivi? ebu nambie wataka zawadi gani leo nkitoka lindo nkuletee?
Karanga na ubuyu🙂🙂🙂🙂🙂
Nipo jamani nasinzia jicho moja leo
kumbe hiki chakula kitamu sn waliokikosa kama Valentina na Ngongoseke nitawaadithia.
nimekukubali chakula kitamu ukianza kula unavua nguo moja baada ya nyingine farkhina unatisha.
Hakuna kama kulala sehemu nzuri alaf mvua hiwe inagonga.....karibuni singida muda huu enyi nyote mnaosumbuliwa na magonjwa yakukosa usingizi nami nitawasaidia
Ukiwahadithia lazima wamwage machozi😉😉😉😉😉
Ukiwahadithia lazima wamwage machozi😉😉😉😉😉
Bora mie nlidokoa jikoni....
Najua mtanizodoa ila nimefaidi teh
Hakuna kama kulala sehemu nzuri alaf mvua hiwe inagonga.....karibuni singida muda huu enyi nyote mnaosumbuliwa na magonjwa yakukosa usingizi nami nitawasaidia