Nani yuko macho tupige stori?

Nani yuko macho tupige stori?

Jamani kama Nambe yuko macho hadi time hii anidai beer weekend
 
Last edited by a moderator:
Jamani kama Nambe yuko macho hadi time hii anidai beer weekend

Nataka kulewa.....zikipanda nimwage radhi....
Haya maandalizi ya furahi day spesheli...halafu hz bia siku mbona hazileweshi.....
Hebu fanya mpango wa bapa basi Jerrymsigwa
 
Last edited by a moderator:
Nataka kulewa.....zikipanda nimwage radhi....
Haya maandalizi ya furahi day spesheli...halafu hz bia siku mbona hazileweshi.....
Hebu fanya mpango wa bapa basi Jerrymsigwa

Bapa ha ha haa gongo ya kiwandani, nakuandalia dompo
 
Last edited by a moderator:
Nikuchukulie form uamini kama nakusapoti?

Hehehee angalau nimepatA amani kujua tuko pamoja...
Sasa na hao wageni kutoka kijijini ndio umeamua kujichana magimbi mwenyewe...lete huku farkhina afanye yake jioni hii....
 
Last edited by a moderator:
Nisimsikie mtu kulalamika eti hajala sijui kanyimwa...
Kutandika mkeka hamkutaka nkatandika mwenyewe mpishi...
Kukosha vyombo ndio kabisaa ndicho kilichowafanya msije kula...
Leo nanunua sahani za karatasi ugomvi wishe...😛😛😛😛
 
Nisimsikie mtu kulalamika eti hajala sijui kanyimwa...
Kutandika mkeka hamkutaka nkatandika mwenyewe mpishi...
Kukosha vyombo ndio kabisaa ndicho kilichowafanya msije kula...
Leo nanunua sahani za karatasi ugomvi wishe...😛😛😛😛

Mhh kuanzia nianze lindo nimekuwa mtegaji kweli wa vyombo...sasa leo ntajitahidi angalau kutandika mkeka na kuondoa hizo sahani za makaratasi baada ya mlo... farkhina
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom