Usalama upo humu? Nambe mambo
sikujua kama umepiga fix. lakini mbona nimesikia leo jikoni ni Ngongoseke na Jerrymsigwa.Sasa patner umeshanichomea hapa...
Mie nilisema leo baltika tu.
Viroba vinanipeleka vibaya...
Ujue nimetegea jikoni RedGiant
Humu ndan kuna mtu yupo skype tulinde vze
sikujua kama umepiga fix. lakini mbona nimesikia leo jikoni ni Ngongoseke na Jerrymsigwa.
sikujua kama umepiga fix. lakini mbona nimesikia leo jikoni ni Ngongoseke na Jerrymsigwa.
MMU ndiko nlikokulia so huwa lazima nipitie...
Sasa ilibidi nipige fix kidogo ila Redgiant keishaniharibia
nami siruhusiwi kuchagua pishi?
Duh Mandela ameaga RIP check CNN breaking news.
ooh!!!. kweli mavumbini tutarejea. jamani manocturnal wote poleni kwa msibaDuh Mandela ameaga RIP check CNN breaking news.
leo sijui anapika nini yupo jikoni bado..
Ndio kusema mmetoroka lindo au mmeenda kula kimya kimya mie huku chobingo nikasahaulika