Nani yuko macho tupige stori?

Nani yuko macho tupige stori?

Ahahahahahaha hatukusahau maana wewe kwa kuonja sikuwezi kila wakati waja jikoni...😉😉😉😉😉😉😉😉

Hahahahaa nkajua wamejipendelea...
Wee pasingetosha humu lol
 
Hahahahaa nkajua wamejipendelea...
Wee pasingetosha humu lol

Hahahahahaha basi tandika huo mkeka weka na maji ya kunawa...


Chakula tayari njooni...
 

Attachments

  • 1386270570133.jpg
    1386270570133.jpg
    49.3 KB · Views: 40
mi sitaosha kwa leo coz nina lindo mbili ila nkisharudisha silaha ntarudi kusafisha mke dah chakula cha leo kitamu farkhina umeweka nini

Nyie chekeni weee ila mpange kabisa nani ataosha vyombo...
 
Last edited by a moderator:
Kwani umekosa chakula? Pole sn mi nilikua nazunguka kuwaita mje mle ila nimekuvulia kofia Nambe.

billy wenzangu mmeondoka kimya kimya nikajionea tabu ya nini..nikajituma mwenyewe jikoni saa hizi mambo yangu safi...
Wa mwisho kula ataosha vyombo lol
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom