Nani yuko macho tupige stori?

Nani yuko macho tupige stori?

msalani saa nzima! mwenzko farkhina kesho analeta tambi, jichangechange na wewe ulete hata soda tuyamalize yasifike kwa@bily
Usijali ntaleta chai ya maziwa ilokolezwa tangawizi,iliki,mdalasini,karafuu na mchaichai ushushie hizo tambi zako!
 
Last edited by a moderator:
jamani wakuu net imekua tabu sana kwangu dah ntafukuzwa kazi kwa stahili hii hadi sasa mambo magumu sana farkhina mbona unanipa maharage jaman wakati nimeona kitamu hapa juu.

Kipi...😱😱😱😱😱
 
Last edited by a moderator:
labda kama ana njia ya kuondoa gesi!@farkhina naomba upishi wa maharagwe kweli lile jukwaa letu kule

Wewe ukitaka yapungue gesi yaroweke overnight....alafu ukipika weka tangawizi na vyengine upendavyo....yanapungua sana gesi
 
Back
Top Bottom