Nani yuko macho tupige stori?

Nani yuko macho tupige stori?

Sio vizuri hivo..
niko napika beans hapa lunch time heheeeh 1472412_10151678910566012_103261138_o.jpg
 
jamani wakuu net imekua tabu sana kwangu dah ntafukuzwa kazi kwa stahili hii hadi sasa mambo magumu sana farkhina mbona unanipa maharage jaman wakati nimeona kitamu hapa juu.
 
Last edited by a moderator:
jamani wakuu net imekua tabu sana kwangu dah ntafukuzwa kazi kwa stahili hii hadi sasa mambo magumu sana farkhina mbona unanipa maharage jaman wakati nimeona kitamu hapa juu.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahah kumbe hatumo kwenye bajeti🙄🙄🙄🙄🙄.
Na mie tambi zangu nakula peke yangu..😱😱😱

Habari ndio hiyo aisee chezea budget wewe! Napiga na kitu cha kijapan "sushi"
 
jamani wakuu net imekua tabu sana kwangu dah ntafukuzwa kazi kwa stahili hii hadi sasa mambo magumu sana farkhina mbona unanipa maharage jaman wakati nimeona kitamu hapa juu.

Pole sana kumekucha sasa amka
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom