Haya nigawieni no zenu pm niwatumie hayo makidosi yenu,kwa whataps ninayo kama mbu wa lindoni yamejaa,
Ahhahahahahaha mie ata usintumie maana nna list kichwani....
Haya nigawieni no zenu pm niwatumie hayo makidosi yenu,kwa whataps ninayo kama mbu wa lindoni yamejaa,
Ahhahahahahaha mie ata usintumie maana nna list kichwani....
Una list wakati nimekurushia kwa Bluetooth hapa?
Haya nigawieni no zenu pm niwatumie hayo makidosi yenu,kwa whataps ninayo kama mbu wa lindoni yamejaa,
Nipo kimya kimya jamani, lol
Kweli......
niko napika beans hapa lunch time heheeehView attachment 124706
Wacha weee umeliunga hasa...na sie wageni wako leo...
dah mazur yamenpta bana uku kulikua network problem jaman dah ila nawasalim igweeeeee!
Kwa appoitment tu
Hahahahahah kumbe hatumo kwenye bajeti🙄🙄🙄🙄🙄.
Na mie tambi zangu nakula peke yangu..😱😱😱
jamani wakuu net imekua tabu sana kwangu dah ntafukuzwa kazi kwa stahili hii hadi sasa mambo magumu sana farkhina mbona unanipa maharage jaman wakati nimeona kitamu hapa juu.
haya wakuu muda wetu ndo umefika tena farkhina , Ngongoseke, Jerrymsigwa na Jawilat twendene sambamba jamani tulisongeshe.
niko napika beans hapa lunch time heheeehView attachment 124706