The Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 10,959
- 13,425
Rais samia ameondoka nchini kwa kificho. Hatujui anakwenda kukutana nani, atakaa siku ngapi na ameandamana na nani. Ni ajabu. Kwanini tufichwe wakati anatumia fedha zetu mbali na kutumia jina letu maana anakwenda kule eti kutuwakilisha wakati anajiwakilisha? Huu nao ni ufisadi wa kimfumo. Nitashangaa kama Kikwete au Makonda. hawamo japo hawawezi kuwamo wote kwa pamoja. Nimepitia magazeti ya chama na serikali sijapata hii kitu. Kunani?
Yangu ni hayo tu.
Yangu ni hayo tu.