King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,603
- 68,513
we wochimeni,nani unamgwaya?
Bofloooooooooooooooooooooooooo!!!
Youngggggggg_Masterrrrrrrrrrrrrrr!!!
we wochimeni,nani unamgwaya?
i am just curios kwa sababu kuna trend nai observe humu jf,labda wewe huja i note.
And delivered. lolmessage sent sio?
Just spit it out.
Simkubali wala simkatai yeyote.
mimi naangalia kilicho andikwa siangalii id za watu sema kuna binti natamani nimfahamu ikiwezekana tuoane kama atakua bado hajawahiwa. anajijua coz pm kwake sichoki kumtumia. kwakua nipo serious naye siwezi mtaja coz hatajiskia vizuri.
Nauliza hivi,humu jf nani ni rafiki yako wa mtandao ambaye kwa sura hamfahamiani (hamjawahi kukutana physically wala kwa simu) lakini hisia zako kwake ni za mtu ambaye mko karibu (you are comfortable around him/her virtually) kiasi kwamba kupitia majibizano mbali mbali kwenye threads/posts unakuwa huna wasiwasi kuwa hata kidole (sio ulimi) kikiteleza hawezi kamwe kukuripoti abuse ukalambwa ban.In the same vein, je ni nani unamgwaya kiasi kwamba thread/post zake unazipitia pembeni au uki comment basi inakuwa ni kwa tahadhari sana maana unaogopa one mistake ataku report abuse ma mods wakutie bakora? sema tu usiogope.
ps: Bishanga ntarudi baadae na majina yangu ngoja kwanza nisokote kipande.
mi no moja maziwa ya mgandoMie nawapenda akina fulani ila namwogopa Bunsen burner lol
Anaweza akaunganishwa na ID yangu bure.
Mkuu, hii maneno imekuja wakati muafaka niweke duku duku langu..............
Huyu Binti yangu huyu...............Nitamtaja mimi!
Mie namtaja bana potelea mbali..............Anaitwaa................CANTALISIA$........!
Huyu Binti mimi namgwaya kweli, maana kila nikiweka VIJIMAMBO vyangu hapa JF vya ujanani, lazima anitie tumbo joto na kuni-BLACK MAIL.
Ndio maana sasa nataka kubadili ID yangu ili asinijue tena................Tena naomba umwambie anikome kunifuata fuata......LOL..................... JUST KIDDING
Mkuu ukisoma hii maneno DELETE.
Hahha hahahha hahahha,Mkuu, hii maneno imekuja wakati muafaka niweke duku duku langu..............
Huyu Binti yangu huyu...............Nitamtaja mimi!
Mie namtaja bana potelea mbali..............Anaitwaa................CANTALISIA$........!
Huyu Binti mimi namgwaya kweli, maana kila nikiweka VIJIMAMBO vyangu hapa JF vya ujanani, lazima anitie tumbo joto na kuni-BLACK MAIL.
Ndio maana sasa nataka kubadili ID yangu ili asinijue tena................Tena naomba umwambie anikome kunifuata fuata......LOL..................... JUST KIDDING
Mkuu ukisoma hii maneno DELETE.
Bila kujali itifaki wala upendeleo. Jinsia ikizingatiwa kwa imani ya babu kutokana na miandiko yao.ndugu yangu Aspirin,sikubaliani na wewe.Hebu niambie ,ni wangapi humu jf unadiriki kuwambia kuwa 'umewazalisha mapacha watatu'? you see? hao unaoweza kuwatania kihivyo ndo nasema you are comfortable around them ( na si lazima mnafahamiana physically) na si kila mwana jf.