Nani ndo GOAT wa rhumba?

Nani ndo GOAT wa rhumba?

NAUZA NYUMBA INA APARTMENT MBILI DAR

Ninauza nyumba yangu hapa vikindu nyuma ya mtaa wa polisi mwenye uhitaji unipigie 0625784681. Au wasap 0673294681. Ni nyumba ina apartments 2 na vyoo ndani.

Bei tsh. 23,000,000.00

Nitapunguza kidogo.
Nicheki wasap kama unahitaji picha na detailed information. Kataa mawinga
Wewe Pimbi bado tu hujapata Wateja ili utupumzishe kutusumbua na hizi Posts zako za Matangazo kila mara katika Threads za Members hapa JamiiForums?
 
Usipojua vizazi vya muziki wa Congo ni ngumu kuuchambua, huwezi mfananisha Franco na Pepe Kalle au Madilu na Ferre Gola, pia kila mwanamuziki ana namna yake ya uimbaji na upigaji wa vyombo, kwa ujumla wanamuziki wote wa Congo walioshine hapa Bongo hao ni wazuri na hakuna mkali kuliko mwingine kwa ujumla ila ukali wa msanii fulani ni kutokana na sikio au mapenzi ya msikilizaji.

Pamoja na yote nimesikitika nguli Madilu System kutotajwa kwenye hiyo orodha feki.
 
Usipojua vizazi vya muziki wa Congo ni ngumu kuuchambua, huwezi mfananisha Franco na Pepe Kalle au Madilu na Ferre Gola, pia kila mwanamuziki ana namna yake ya uimbaji na upigaji wa vyombo, kwa ujumla wanamuziki wote wa Congo walioshine hapa Bongo hao ni wazuri na hakuna mkali kuliko mwingine kwa ujumla ila ukali wa msanii fulani ni kutokana na sikio au mapenzi ya msikilizaji.

Pamoja na yote nimesikitika nguli Madilu System kutotajwa kwenye hiyo orodha feki.
madilu ni mwanafunzi wa franco, alikuzwa na bendi ya TP OK JAZZ
 
Usipojua vizazi vya muziki wa Congo ni ngumu kuuchambua, huwezi mfananisha Franco na Pepe Kalle au Madilu na Ferre Gola, pia kila mwanamuziki ana namna yake ya uimbaji na upigaji wa vyombo, kwa ujumla wanamuziki wote wa Congo walioshine hapa Bongo hao ni wazuri na hakuna mkali kuliko mwingine kwa ujumla ila ukali wa msanii fulani ni kutokana na sikio au mapenzi ya msikilizaji.

Pamoja na yote nimesikitika nguli Madilu System kutotajwa kwenye hiyo orodha feki.
ivi unajua rhumba asili yake ni franco?
 
Wewe kweli Ujuhi Miamba ya Rhumba,la Congo, Mwamba Aswa ni Grand kalle na Wendo kolosoni, Awa ndio Miamba ya Rhumba la Congo
🤣 🤣 mwanzilishi wa rhumba ni nan?
 
Back
Top Bottom