Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 373,369
- 865,045
- Thread starter
- #21
Kuna wawili umewaruka😂🏃🏿adriz de mbusii na Busu la Kenge ni viongozi wa magege.
Kuna wawili umewaruka😂🏃🏿adriz de mbusii na Busu la Kenge ni viongozi wa magege.
Mimi napenda kusikiliza kesi ntaamua baadae kundi langu
Huenda wako ndani ya magenge haya 😅Kuna wawili umewaruka😂🏃🏿
Coca usinijumuishe nae kwa sasa , namchukia mno kwa sababu anapinga wachaga bila ushahidi
Ameolewa na mpare mmoja hivi. Kutwa wanakula ugali kwa picha ya mbuzi, ati wanasema wanajibana ili wajenge uchumi.Coca usinijumushe nae kwa sasa , namchukia mno kwa sababu anapinga wachaga bila ushahidi
Natamani kuwa na kundi la walokole wa kweli kwakuwa la walozi nimeleft😀Hii ni mada yako ya tatu kama sikosei ukiongelea jambo hili. Una agenda gani?
Ila kwa ufahamu wangu mdogo makundi hutengenezwa na watu wenye interest zinazofanana kwa malengo yao binafsi. Wapo wanaojikuta tu automatic wameendana na kuwa kundi moja. Hili halikwepeki popote pale.
Anzisha mada za mrengo huo au tafuta mada za aina hiyo uchangie utawapata wachangiaji mnaoendana. Na za umbea pia ni hivyo hivyo.Natamani kuwa na kundi la walokole wa kweli kwakuwa la walozi nimeleft😀
Huyu ata kama hajasoma, lazima afanikiwe
Maajabu hayaishi duniani.Ukute na wewe ni admin Eti unajitafuta.!