makedonia
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 3,761
- 3,019
Ngouma lokito alikuwa na mbembwe tu...hamna kitu
Heshima Kakuruvi,
Kweli hawa jamaa walikuwa moto wa kuotea mbali.Diblo Dibala,Dally Kimoko na Neneh Chakuchaku walitawala vyema mpini wa solo kwa upande wa bass alikuwepo ngouma lokito na rhyzm alikuwepo Lokasa ya mbongo.
Kwenye anga za muziki hawa jamaa hawasikiki kabisa sijui kimewasibu nini.
Sent using Jamii Forums mobile app