Kizazi baada ya Messi na Ronaldo: Kati ya Neymar, Hazard, Mbappe, Dyabala na Pogba nani kutesa na tuzo ya ballon d'Or?

Kunguru Mjanja

JF-Expert Member
Aug 22, 2012
2,036
3,929
Kwa muda wa miaka 10 hadi sasa ulimwengu wa soka umeshikiliwa na magwiji wawili wa soka wanaotesa uwanjani na kuchukua tuzo kubwa ya Ballon d'Or kwa muda wote huo. Lakini sasa kuna vipaji vipya vinaonekana ambavyo vitakuja kutesa kipindi hiki ambacho Messi na Ronaldo wanaelekea ukingoni.

Kuna wachezaji wengi wazuri na wadogo; Hazard, Neymar, Mbappe, Pogba na Dyabala. Hawa wanaonekana kuwa ni moto kwa sasa na watakuja kuchuana vikali sana kwenye tuzo hiyo ya ballon d'or tuzo kubwa kwenye ulimwengu wa soka.

Sasa wapenzi wa Kandanda: Je, kati ya hawa ni nani atakuja kuwatesa wenzake na kuchukua tuzo hii mara kadhaa kuzidi wote hawa? Au kuna mwingine tofauti na hawa ambaye anaweza kuwa mbabe wa tuzo hiyo?
 
Ha ha ha ha ha ha, Mkuu watakuja kukushukia kwa kasi wafuasi wake
Wakija natoka nduki

PAY-Paul-Pogba-poses-after-signing-for-Manchester-United.jpg
 
UNAMFANANISHAJE NEYMAR NA POGBA, DYBALA?

HAPO NEYMAR HAKUNA ANAYEFANANA NAYE, UKIWAONDOA MESI NA CR, NEYMAR ATAKUWA ANACHUKUA TUZO KILA MWAKA KWA MIAKA 10 MFULULIZO.

Kwanza ukumbuke licha ya ushndani wa cr na messi, lakn bdo huyo dogo anakuwa shortlisted ktk watatu wanaowania.. Ebu mheshmu neymar.. Sema tu league anayochezea ni ya kishambaboy, na watu wanaipenda Psg kwa ajili ya kumwona neymar, cha kufanya hapo neymar ahamie timu kubwa ya spain au england
 
WE MPUUZI, UNAMFANANISHAJE NEYMAR NA TAKATAKA KAMA POGBA, DYBALA?

HAPO NEYMAR HAKUNA ANAYEFANANA NAYE, UKIWAONDOA MESI NA CR, NEYMAR ATAKUWA ANACHUKUA TUZO KILA MWAKA KWA MIAKA 10 MFULULIZO.

Kwanza ukumbuke licha ya ushndani wa cr na messi, lakn bdo huyo dogo anakuwa shortlisted ktk watatu wanaowania.. Ebu mheshmu neymar.. Sema tu league anayochezea ni ya kishambaboy, na watu wanaipenda Psg kwa ajili ya kumwona neymar, cha kufanya hapo neymar ahamie timu kubwa ya spain au england

Sasa Mkuu mbona unaleta mihemko hivyo? Kwani huwezi kutoa hoja kama wengine bila kutukana, neno mpuuzi la nini sasa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom