mike2k
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 1,458
- 3,127
Habari za wakati huu wakuu.
Naomba kufahamu ni nani mkali wa machorus na colabo bongo kati ya hawa wasani wawili juma nature raia wa temeke na gnako chali ya chuga.
juma Nature
Juma Kassim Kiroboto 'Nature'. Tukumbuke chorus hizi
Ugali
Sonia
Msela
Ugali
Radhia
Sitaki Demu
Kisa Demu
Hatuna kitu
Salio la verse
Zali la mentali
Nimpende nani?
Ubinadamu kazi
Mzee wa busara
Ya leo kali
Aquelina
Bila sanaa
Tunafanya kazi
Jinsi kijana
Ni mshamba
Siri ya mchezo
hii ni ndiyo mzee akiwa na professor J.
G NAKO
G nako member wa zamani wa NAKO 2 NAKO na sasa akiwa member wa WEUSI.ni msani mwenye ladhaa ya kipekee kila ngoma anayoshirikishwa anafunika vilivyo. msikilize hapa
bele 9 na G Nako na maole.
weusi nje ya box
abdu kiba na g nako kwenye sheri coco
Naomba kufahamu ni nani mkali wa machorus na colabo bongo kati ya hawa wasani wawili juma nature raia wa temeke na gnako chali ya chuga.
juma Nature
Juma Kassim Kiroboto 'Nature'. Tukumbuke chorus hizi
Ugali
Sonia
Msela
Ugali
Radhia
Sitaki Demu
Kisa Demu
Hatuna kitu
Salio la verse
Zali la mentali
Nimpende nani?
Ubinadamu kazi
Mzee wa busara
Ya leo kali
Aquelina
Bila sanaa
Tunafanya kazi
Jinsi kijana
Ni mshamba
Siri ya mchezo
hii ni ndiyo mzee akiwa na professor J.
G NAKO
G nako member wa zamani wa NAKO 2 NAKO na sasa akiwa member wa WEUSI.ni msani mwenye ladhaa ya kipekee kila ngoma anayoshirikishwa anafunika vilivyo. msikilize hapa
bele 9 na G Nako na maole.
weusi nje ya box
abdu kiba na g nako kwenye sheri coco