Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,429
- 27,123
Kama kinyongaHii ni style ya utawala unaobadilika kutokana na Mazingira na Matukio
Mkuu mimi nimeshangaa sana. Kwanini waziri mkuu anafanya monkey business? Yaani mzuku umepanda nahamia Dodoma!!!! Je budget hiyo imepitishwa na nani? Mawaziri wanaenda huko na naibu wao budget hiyo imepishwa wapi? Wakuu wa taasisi wote na idara zao wataishi huko kwa pesa za budget ipi? it's monkey business
Kwakwel kawaza mbali sana, laiti kama Dar wangekuepo Wazaramo peke yao sidhani kama jiji lingekuwa chini ya UKAWAUmefikiria kwa undani sana. Good analysis
Asipohama mtamunanga tena mbona amechelewa, anataka kuondoka kelele kibao, nyie watanzania mmelogwa na nani?, muacheni rais wetu atimize azima ya taifa ya muda mrefu ya kihamisha serikali Dodoma, suala la hela anajua yeye maana ndio mkuu, huwezi ukahoji matumizi ya baba yako wewe mtoto wa miaka minne, hujui baba yako anapata wapi hela, na serikali inajua itapata wapi hela nyie ngedere tulieni serikali itimize wajibu wake, mnadandia matukio tu, hoja hamna.
Akafanya uamuzi halafu yeye mwenyewe hakuhamia mpaka akang'atuka na kuwaachia wenzake msala!Uamuzi wa kuhamia dodoma ulifanywa na nyerere sio jpm, kumbuka nyumba za mawaziri zilijengwa na npf, tatizo humu jf sikuhizi watoto wengi.
Sasa kama unalipa kodi hizo ndo zitafinance mradi wa kuhama.Ati tusihoji anapata wapi hela wakati tunalipa kodi. Hata kwa baba yako ungekuwa unalipa kodi kwake ungeuliza tu. Mfano gani huo....
Ujue wew jamaa nakuonea huruma kwa ufahamu wapo mdogoAkili hizi
Nizakutupa
2019 basi Ikulu itahamia GEITANimemsiliza Mbunge wa Geita Vijijini maarufu kama Msukuma anasema itakuwa karibu na Geita. Naamini Rais anarahisisha kwenda Chato kipindi cha mapumziko maana usafiri wa ndege ana allergy nao
Ndio wale wale kuwa hakuna kufanya SIASA wakati wao wanafanya SiasaHoja hiyo inakuhusu pia! Unafanya nini hapa JF saa hizi umemaliza kazi?
Wanaolipa kodi ni watanzania lazima tuhoji, wewe vipi chazzySasa kama unalipa kodi hizo ndo zitafinance mradi wa kuhama.
.Dar imeshakuwa mali ya CHADEMA /UKAWA, hujasikia mtifuano unaoendelea kati ya viongozi wa ccm na chadema huko Dar? Sasa hv wala haijulikani nani mwenye sauti ya mwisho kati ya halmashauri (chadema) na serikali kuu (ccm), pia ccm imeona kuwa ikiendelea kukomaa na mipango ya maendeleo hapo Dar mwisho wa cku sifa zitaenda kwa ukawa hivyo kitengo kimemshauri mkulu aende akafanyie mambo yake dodoma ambayo ni ya ccm 100%