nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,733
- 14,157
Shukran ...Hebu tujuze kuhusu CDA.poor mind...pole mkuu
Shukran ...Hebu tujuze kuhusu CDA.poor mind...pole mkuu
Sasa jibaba zima unaandika maneno 5 kukosoa badala ueleze kama mwenzako hapo juuMtazamo hafifu na finyu sana.
Mtizamo mdogo sana ndugu. Wakati nyerere anasema serikali itahamia Dodoma ukawa ilikuwepo?mode usiunganishe huu uzi popote
Mh Rais na Serikali yake hawakuwa na mpango wa kuhamia Dodoma at least mpaka may mwaka huu na sijui hii ghafla kashauliwa na nani. Hebu angalia yafuatayo
Kwa sababu hizi na nyingine lukuki, napatwa na wasiwasi, nani kamfukuza Mh Rais Dar? magogoni kuna nini?
- Kama angekuwa na huu mpango katika bujeti ya 2016/2017 wangeweka fungu la kuhama, lakini hakuna fungu la serikali kuhama katika bajeti hii
- Kama angepanga kuhama mapema kiasi hiki waziri mkuu katika majumuisho yake katika bunge la bajeti angetoa taarifa hii ili kuwapa mawaziri taarifa rasmi na muda wa kuhama. lakini hili halikufanyika
- Kama angekuwa na mpango wa kuhama mapema kiasi hiki CCM wasingehangaika kulazimisha kuchakachua matokeo ya umeya wa jiji (wote mnakumbuka zile sarakasi). Hii ni kwasababu wangujua kuwa wanahama na DODOMA ni ngome yao hivyo wasingepata wasiwasi wa eti rais hawezi kuwa katika jiji linaloongozwa na UKAWA.
- Kama angekuwa na mpango wa kuhama, nna uhakika asingepeleka bil 12 mahakamani kwa mkupuo wakati wizara zake zote hazina bujeti ya kuhamia Dodoma katika fedha walizotenga.
- Kama angekuwa na mpango wa kuhama mapema kiasi hiki asingejikita katika ujenzi wa flyover Dar eti ili kupunguza foleni wakati barabara za Dodoma ni nyembamba ka mti, angesubili serikali ihamie Dodoma ili wafanye assessment kama bado kuna ulazima wa hizo flyover Dar hasa baada ya wafanyakazi wa serikali kuhamia Dodoma
- Kama angekuwa anampango wa kuhama mapema, asingezuia miradi mipya ya NHC kuendelea hasa ile ya Dodoma, kwa kuzingatia uhitaji wa nyumba utakaoongezeka katika mji huo mkuu
Maandalizi ya nini?tunahoji uharaka wa kuhamia Dodoma bila maandalizi, kumbuka mwezi wa tisa WAZIRI MKUU anahamia , that means wizara zote ziwe Dodoma before mwezi wa TISA
Hizo "qualifiers" hutumika pale mtu anapokuwa hana uhakika na anachokisema..
Mh! Naona umesahau kutumia qualifiers kama vile huenda, inawezekana, yamkini, nk
Muda wa kupimwa akili umefikaUKAWA ni Kiboko
Wamewafukuza mafisadi kwenye jiji la kimataifa DSM. Nendani huko kwa wagogo mtuachie Dsm yetu!! Hatutawaachia hadi dahari!! Yaliogopa kufanyia siku ya mashujaa DSM kwa woga wa Meya kushiriki!!
Ok Dsm ni Mji mkuu wa UKAWA na Dodoma mji mkuu wa CCM!!
Very good!!
hotuba ya kichwa mkuu, huwa zina utata mwingiKabla ya kuumiza kichwa jiulize ile hotuba ilikuwa imeandikwa au alitoa kichwani ? Kama alitoa kichwani basi lazima uifuraishe adhila
Naanza kuwa na wasiwasi na PM naona kila anachosema mkuu wake anakimbilia utekelezaji wa kasi ya ajabu baadaye anafeli.Mfano ni ile issue ya sukari walikurupuka vibaya mpaka sasa sukari haijashuka bei. Anapaswa kuwa mshauri sio bendera liyo na woga.Miezi miwili unahamisha serikali yote kwa bajeti gani? Nashauri Rais awe anaandikiwa hotuba na akubali kusoma ama sivyo matamko haya yatatimizwa bila kufuata utaratibu na uvunjaji wa sheria na viongozi wengi wanofanya kazi kwa woga kutetea vyeo vyao na matumbo yao.Mkuu mimi nimeshangaa sana. Kwanini waziri mkuu anafanya monkey business? Yaani mzuku umepanda nahamia Dodoma!!!! Je budget hiyo imepitishwa na nani? Mawaziri wanaenda huko na naibu wao budget hiyo imepishwa wapi? Wakuu wa taasisi wote na idara zao wataishi huko kwa pesa za budget ipi? it's monkey business
Mie nahisi Magufuli hataki kukaa jiji linalotangaza mashoga kwenye media kubwa kama CloudAmekimbia foleni za dar, mgao wa umeme na mgao wa maji unafanya mchezo nini, dodoma kuna kila kitu

Unaona miguuni tu huoni mbali kama mawazo yako yanavyodhirisha, hii ishu ya Dom faster imekuwa km ishu ya elimu bure alivyoidandia toka opposition bila kujipanga, matokeo ni amri za kukimbiza, madawati mengi ni feki, toka lini mbao mbichi ikatengeneza fenicha??????? Walimu waliandaliwa vya kutosha kupokea idadi kubwa ya wanafunzi? Madarasa yaliandaliwa, think twice.Mtazamo hafifu na finyu sana.
Awamu yenu ni moja na ni ya mwisho, hongereni mmeandika historia na haita kujatokea tena. Uchaguzi ujao kama mtapata viti vitano vya ubunge basi mshukuru Mungu sana.Amekimbia foleni za dar, mgao wa umeme na mgao wa maji unafanya mchezo nini, dodoma kuna kila kitu
UKAWA ni Kiboko
Wamewafukuza mafisadi kwenye jiji la kimataifa DSM. Nendani huko kwa wagogo mtuachie Dsm yetu!! Hatutawaachia hadi dahari!! Yaliogopa kufanyia siku ya mashujaa DSM kwa woga wa Meya kushiriki!!
Ok Dsm ni Mji mkuu wa UKAWA na Dodoma mji mkuu wa CCM!!
Very good!!
.Hizo "qualifiers" hutumika pale mtu anapokuwa hana uhakika na anachokisema.
Dodoma ndipo yalipo makao makuu ya nchi. Na hili si la Magufuli. Tatizo nchi hii ina vijana wengi ambao historia hawana. Zaidi ya miaka 20 tangu uamuzi wa kuhamia Dodoma, leo hii tunahoji nini?