Nani kamfukuza Rais wetu Dar?

Nani kamfukuza Rais wetu Dar?

Unataka kutuambia kuwa flyover wanajengewa watumishi wa mawizara waliopo Dar? wapo wangapi kwanza?
Serikali ikihamia Dodoma ni wazi taasisi nyingi za umma na hata binafsi zitahamia Dodoma. Aidha mabalozi, mashirika ya kimataifa yote yataelekea Dodoma!

Kwa hiyo si ajabu msongamano Dar ukapungua kwa kiwango kikubwa!! Fikiria msongamano uliopo Dar asubuhi na jioni wakati wafanyakazi wanakwenda kazini na kurudi makwao utakwisha kabisa!!
 
Mh Rais na Serikali yake hawakuwa na mpango wa kuhamia Dodoma at least mpaka may mwaka huu na sijui hii ghafla kashauliwa na nani. Hebu angalia yafuatayo
  1. Kama angekuwa na huu mpango katika bujeti ya 2016/2017 wangeweka fungu la kuhama, lakini hakuna fungu la serikali kuhama katika bajeti hii
  2. Kama angepanga kuhama mapema kiasi hiki waziri mkuu katika majumuisho yake katika bunge la bajeti angetoa taarifa hii ili kuwapa mawaziri taarifa rasmi na muda wa kuhama. lakini hili halikufanyika
  3. Kama angekuwa na mpango wa kuhama mapema kiasi hiki CCM wasingehangaika kulazimisha kuchakachua matokeo ya umeya wa jiji (wote mnakumbuka zile sarakasi). Hii ni kwasababu wangujua kuwa wanahama na DODOMA ni ngome yao hivyo wasingepata wasiwasi wa eti rais hawezi kuwa katika jiji linaloongozwa na UKAWA.
  4. Kama angekuwa na mpango wa kuhama, nna uhakika asingepeleka bil 12 mahakamani kwa mkupuo wakati wizara zake zote hazina bujeti ya kuhamia Dodoma katika fedha walizotenga.
  5. Kama angekuwa na mpango wa kuhama mapema kiasi hiki asingejikita katika ujenzi wa flyover Dar eti ili kupunguza foleni wakati barabara za Dodoma ni nyembamba ka mti, angesubili serikali ihamie Dodoma ili wafanye assessment kama bado kuna ulazima wa hizo flyover Dar hasa baada ya wafanyakazi wa serikali kuhamia Dodoma
  6. Kama angekuwa anampango wa kuhama mapema, asingezuia miradi mipya ya NHC kuendelea hasa ile ya Dodoma, kwa kuzingatia uhitaji wa nyumba utakaoongezeka katika mji huo mkuu
Kwa sababu hizi na nyingine lukuki, napatwa na wasiwasi, nani kamfukuza Mh Rais Dar? Magogoni kuna nini?
Haya magharama unayoyazungumzia ni nauli?..Je? Dodoma unapafahamu au ni mihemko?
 
Mh Rais na Serikali yake hawakuwa na mpango wa kuhamia Dodoma at least mpaka may mwaka huu na sijui hii ghafla kashauliwa na nani. Hebu angalia yafuatayo
  1. Kama angekuwa na huu mpango katika bujeti ya 2016/2017 wangeweka fungu la kuhama, lakini hakuna fungu la serikali kuhama katika bajeti hii
  2. Kama angepanga kuhama mapema kiasi hiki waziri mkuu katika majumuisho yake katika bunge la bajeti angetoa taarifa hii ili kuwapa mawaziri taarifa rasmi na muda wa kuhama. lakini hili halikufanyika
  3. Kama angekuwa na mpango wa kuhama mapema kiasi hiki CCM wasingehangaika kulazimisha kuchakachua matokeo ya umeya wa jiji (wote mnakumbuka zile sarakasi). Hii ni kwasababu wangujua kuwa wanahama na DODOMA ni ngome yao hivyo wasingepata wasiwasi wa eti rais hawezi kuwa katika jiji linaloongozwa na UKAWA.
  4. Kama angekuwa na mpango wa kuhama, nna uhakika asingepeleka bil 12 mahakamani kwa mkupuo wakati wizara zake zote hazina bujeti ya kuhamia Dodoma katika fedha walizotenga.
  5. Kama angekuwa na mpango wa kuhama mapema kiasi hiki asingejikita katika ujenzi wa flyover Dar eti ili kupunguza foleni wakati barabara za Dodoma ni nyembamba ka mti, angesubili serikali ihamie Dodoma ili wafanye assessment kama bado kuna ulazima wa hizo flyover Dar hasa baada ya wafanyakazi wa serikali kuhamia Dodoma
  6. Kama angekuwa anampango wa kuhama mapema, asingezuia miradi mipya ya NHC kuendelea hasa ile ya Dodoma, kwa kuzingatia uhitaji wa nyumba utakaoongezeka katika mji huo mkuu
Kwa sababu hizi na nyingine lukuki, napatwa na wasiwasi, nani kamfukuza Mh Rais Dar? Magogoni kuna nini?

N WEWE NI KILAZA TU, MPANGO HUO UMEKUWEPO SIKU NYINGI TU NI MAAMUZI TU, KAMA NI HELA IPO YA KUTOSHA HATA TUME YA UCHAGUZI WALIRUDISHA CHANGE AMBAYO BADO HAIJAFANYA KAZI NA MAENEO MENGINE, PIA BADO WANAWEZA KUTUMIA HELA NA IKALIPWA NA BUDGET IJAYO, KUPANGA NI KUCHAGUA.
 
Mh Rais na Serikali yake hawakuwa na mpango wa kuhamia Dodoma at least mpaka may mwaka huu na sijui hii ghafla kashauliwa na nani. Hebu angalia yafuatayo
  1. Kama angekuwa na huu mpango katika bujeti ya 2016/2017 wangeweka fungu la kuhama, lakini hakuna fungu la serikali kuhama katika bajeti hii
  2. Kama angepanga kuhama mapema kiasi hiki waziri mkuu katika majumuisho yake katika bunge la bajeti angetoa taarifa hii ili kuwapa mawaziri taarifa rasmi na muda wa kuhama. lakini hili halikufanyika
  3. Kama angekuwa na mpango wa kuhama mapema kiasi hiki CCM wasingehangaika kulazimisha kuchakachua matokeo ya umeya wa jiji (wote mnakumbuka zile sarakasi). Hii ni kwasababu wangujua kuwa wanahama na DODOMA ni ngome yao hivyo wasingepata wasiwasi wa eti rais hawezi kuwa katika jiji linaloongozwa na UKAWA.
  4. Kama angekuwa na mpango wa kuhama, nna uhakika asingepeleka bil 12 mahakamani kwa mkupuo wakati wizara zake zote hazina bujeti ya kuhamia Dodoma katika fedha walizotenga.
  5. Kama angekuwa na mpango wa kuhama mapema kiasi hiki asingejikita katika ujenzi wa flyover Dar eti ili kupunguza foleni wakati barabara za Dodoma ni nyembamba ka mti, angesubili serikali ihamie Dodoma ili wafanye assessment kama bado kuna ulazima wa hizo flyover Dar hasa baada ya wafanyakazi wa serikali kuhamia Dodoma
  6. Kama angekuwa anampango wa kuhama mapema, asingezuia miradi mipya ya NHC kuendelea hasa ile ya Dodoma, kwa kuzingatia uhitaji wa nyumba utakaoongezeka katika mji huo mkuu
Kwa sababu hizi na nyingine lukuki, napatwa na wasiwasi, nani kamfukuza Mh Rais Dar? Magogoni kuna nini?

hahaha! watu wakorofi nyie!

Dar kaachiwa Lowassa na UKAWA yake bana!

halahala UKAWA wasiende Dodoma - mwaweza sababisha watu wavuke boarder kuingia na kuweka makao kwa our bro next door (Mr PK)!
 
Serikali ikihamia Dodoma ni wazi taasisi nyingi za umma na hata binafsi zitahamia Dodoma. Aidha mabalozi, mashirika ya kimataifa yote yataelekea Dodoma!

Kwa hiyo si ajabu msongamano Dar ukapungua kwa kiwango kikubwa!! Fikiria msongamano uliopo Dar asubuhi na jioni wakati wafanyakazi wanakwenda kazini na kurudi makwao utakwisha kabisa!!
AMEJIPANGA HUYO NI MZEE WA MAAMUZI
 
Gia zikibadilishwa ANGANI huku ARDHINI inakuwa ni shida tupu AISEE!
 
Ukawa kweli tuna tisha , ccm wanaikimbia dar ? sasa tujitahidi 2020 tuwabadilishe wagogo ili huko nako wakimbie tena ..teh teh teh ...kwnn tutaichukua manspaa ya dodoma ? Makabila yanayoichukia ccm yatahamia pale ...eg wanyakyusa ..wakinga ..wachaga ..waha ...wanyiha ...wakiingia hapo dodoma , bc inakuwa rahisi sana kuwakimbiza ccm hata hapo dodoma

KAFANYENI KAZI ITAWASAIDIA KUONGEZA KIPATO JAMANI DUH!
 
Mh Rais na Serikali yake hawakuwa na mpango wa kuhamia Dodoma at least mpaka may mwaka huu na sijui hii ghafla kashauliwa na nani. Hebu angalia yafuatayo
  1. Kama angekuwa na huu mpango katika bujeti ya 2016/2017 wangeweka fungu la kuhama, lakini hakuna fungu la serikali kuhama katika bajeti hii
  2. Kama angepanga kuhama mapema kiasi hiki waziri mkuu katika majumuisho yake katika bunge la bajeti angetoa taarifa hii ili kuwapa mawaziri taarifa rasmi na muda wa kuhama. lakini hili halikufanyika
  3. Kama angekuwa na mpango wa kuhama mapema kiasi hiki CCM wasingehangaika kulazimisha kuchakachua matokeo ya umeya wa jiji (wote mnakumbuka zile sarakasi). Hii ni kwasababu wangujua kuwa wanahama na DODOMA ni ngome yao hivyo wasingepata wasiwasi wa eti rais hawezi kuwa katika jiji linaloongozwa na UKAWA.
  4. Kama angekuwa na mpango wa kuhama, nna uhakika asingepeleka bil 12 mahakamani kwa mkupuo wakati wizara zake zote hazina bujeti ya kuhamia Dodoma katika fedha walizotenga.
  5. Kama angekuwa na mpango wa kuhama mapema kiasi hiki asingejikita katika ujenzi wa flyover Dar eti ili kupunguza foleni wakati barabara za Dodoma ni nyembamba ka mti, angesubili serikali ihamie Dodoma ili wafanye assessment kama bado kuna ulazima wa hizo flyover Dar hasa baada ya wafanyakazi wa serikali kuhamia Dodoma
  6. Kama angekuwa anampango wa kuhama mapema, asingezuia miradi mipya ya NHC kuendelea hasa ile ya Dodoma, kwa kuzingatia uhitaji wa nyumba utakaoongezeka katika mji huo mkuu
Kwa sababu hizi na nyingine lukuki, napatwa na wasiwasi, nani kamfukuza Mh Rais Dar? Magogoni kuna nini?
Kinachokushangaza nini hapo. Rais wetu alilieleza hilo la kuhamia Dodoma hata kabla ya kuchaguliwa kuwa Rais wa JMT. Nia anayo na uwezo anao.
Mtazamo hafifu na finyu sana.
 
Ndiyo maana nikasema yangu macho na masikio na tuweke kumbukumbu za Viongozi wetu maana ninawajua wanasiasa fika kwa kuruka kauli na hoja zao hawachelewi na kutafuta sababu lukuki.
 
Kamkimbia makonda na kithee chake...
Kakbia moshi wa samaki za feri unaopuliza geto kwake
 
miji iliyo karibu na dodoma kukua,biashara kuongezeka na gharama ya kusafirisha mazao ya kilimo na ufugaji kupungua,mengi yataishia dom.Uchumi wa maeneo karibu na dodoma kukua.
mji wa biashara utabaki Dar es salaam usijidanganye
 
wewe bana...kwani majimbo yote ya Tanzania ni dodoma?

badala ya Dar wanaenda dodoma


Wale wabunge wanaohamia DSM na kurudi majimboni kipindi cha uchaguzi sijui watasingizia nini maana walikuwa wanasingizia kwenda wizara mbali mbali kushughulikia kero za wapiga kura wao. Sasa mambo yote yatakuwa yamerahisishwa watafute sababu nyingine....Mahudhurio bungeni yataongezeka.
 
Dodoma ndipo yalipo makao makuu ya nchi. Na hili si la Magufuli. Tatizo nchi hii ina vijana wengi ambao historia hawana. Zaidi ya miaka 20 tangu uamuzi wa kuhamia Dodoma, leo hii tunahoji nini?
Ni zaidi ya MIAKA 40. Kweli Tatizo nchi hii vijana wengi hawaijui historia ya nchi yao ikiwa ni pamoja na wewe. Kumradhi sana.!!!!!
 
Serikali ikihamia Dodoma ni wazi taasisi nyingi za umma na hata binafsi zitahamia Dodoma. Aidha mabalozi, mashirika ya kimataifa yote yataelekea Dodoma! Kwa hiyo si ajabu msongamano Dar ukapungua kwa kiwango kikubwa!! Fikiria msongamano uliopo Dar asubuhi na jioni wakati wafanyakazi wanakwenda kazini na kurudi makwao utakwisha kabisa!!
.
Can you quantify your ideas?
Umeulizwa: watumishi wa umma, mabalozi na wateja wao ni wangapi jumla ili tulinganishe na wakazi wa Dar na hivyo kupima uzito wa madai yako kwamba "Kwa hiyo si ajabu msongamano Dar ukapungua kwa kiwango kikubwa!!"
 
Asipohama mtamunanga tena mbona amechelewa, anataka kuondoka kelele kibao, nyie watanzania mmelogwa na nani?, muacheni rais wetu atimize azima ya taifa ya muda mrefu ya kihamisha serikali Dodoma, suala la hela anajua yeye maana ndio mkuu, huwezi ukahoji matumizi ya baba yako wewe mtoto wa miaka minne, hujui baba yako anapata wapi hela, na serikali inajua itapata wapi hela nyie ngedere tulieni serikali itimize wajibu wake, mnadandia matukio tu, hoja hamna.
 
Back
Top Bottom