Mtazamo hafifu na finyu sana.
mkuu wagogo wamekunywa maji ya kijani huwaambii kitu,ila ndio wanaongoza kwa kuombaomba na kula viwajesh wakati wa njaaUkawa kweli tuna tisha , ccm wanaikimbia dar ? sasa tujitahidi 2020 tuwabadilishe wagogo ili huko nako wakimbie tena ..teh teh teh ...kwnn tutaichukua manspaa ya dodoma ? Makabila yanayoichukia ccm yatahamia pale ...eg wanyakyusa ..wakinga ..wachaga ..waha ...wanyiha ...wakiingia hapo dodoma , bc inakuwa rahisi sana kuwakimbiza ccm hata hapo dodoma
povu la kijani naona lakuchuruzika pole sanaJumanne SAA 2 na nusu asubuhi,kafanyeni kazi,hizi siasa zitawatia wendawazimu.Kama una akili kaanzishe mradi Dodoma utakutoa badala ya kukaa kuanzisha tu threads humu JF serikali ni hii hii ya JPM na huwezi ibadilisha,ukijua hilo tu Upo mbioni kupiga hatua.
Jumanne SAA 2 na nusu asubuhi,kafanyeni kazi,hizi siasa zitawatia wendawazimu.Kama una akili kaanzishe mradi Dodoma utakutoa badala ya kukaa kuanzisha tu threads humu JF serikali ni hii hii ya JPM na huwezi ibadilisha,ukijua hilo tu Upo mbioni kupiga hatua.
Punguza Munkari,Wewe mwenyewe uko hapa macho kodo kusoma na kujibu Thread hizo unazoziponda,kwa maana hiyo na wewe ni Jobless tu kama unaowaponda,wanaofanya kazi hawana hata muda wa kuingia JF muda huu.
Ni gorofa lipi zuri mkuu ili namimi nikachungulie kidogoAmekimbia yale Magorofa marefu yale karibia na ikulu, watu wanamchungulia.
Umefikiria kwa undani sana. Good analysisUkawa kweli tuna tisha , ccm wanaikimbia dar ? sasa tujitahidi 2020 tuwabadilishe wagogo ili huko nako wakimbie tena ..teh teh teh ...kwnn tutaichukua manspaa ya dodoma ? Makabila yanayoichukia ccm yatahamia pale ...eg wanyakyusa ..wakinga ..wachaga ..waha ...wanyiha ...wakiingia hapo dodoma , bc inakuwa rahisi sana kuwakimbiza ccm hata hapo dodoma
Lakini cha kushangaza, pamoja na maswali yako haya yanayohitaji majibu mazuri kwa Mustakabali wa Ustawi wa Taifa letu, kati ya jana na leo, WASOMI wamepongeza uamuzi huu wa kuhamia Dodoma. Ni jambo jema lakini lilihitaji ratiba kamili.Mh Rais na Serikali yake hawakuwa na mpango wa kuhamia Dodoma at least mpaka may mwaka huu na sijui hii ghafla kashauliwa na nani. Hebu angalia yafuatayo
Kwa sababu hizi na nyingine lukuki, napatwa na wasiwasi, nani kamfukuza Mh Rais Dar? Magogoni kuna nini?
- Kama angekuwa na huu mpango katika bujeti ya 2016/2017 wangeweka fungu la kuhama, lakini hakuna fungu la serikali kuhama katika bajeti hii
- Kama angepanga kuhama mapema kiasi hiki waziri mkuu katika majumuisho yake katika bunge la bajeti angetoa taarifa hii ili kuwapa mawaziri taarifa rasmi na muda wa kuhama. lakini hili halikufanyika
- Kama angekuwa na mpango wa kuhama mapema kiasi hiki CCM wasingehangaika kulazimisha kuchakachua matokeo ya umeya wa jiji (wote mnakumbuka zile sarakasi). Hii ni kwasababu wangujua kuwa wanahama na DODOMA ni ngome yao hivyo wasingepata wasiwasi wa eti rais hawezi kuwa katika jiji linaloongozwa na UKAWA.
- Kama angekuwa na mpango wa kuhama, nna uhakika asingepeleka bil 12 mahakamani kwa mkupuo wakati wizara zake zote hazina bujeti ya kuhamia Dodoma katika fedha walizotenga.
- Kama angekuwa na mpango wa kuhama mapema kiasi hiki asingejikita katika ujenzi wa flyover Dar eti ili kupunguza foleni wakati barabara za Dodoma ni nyembamba ka mti, angesubili serikali ihamie Dodoma ili wafanye assessment kama bado kuna ulazima wa hizo flyover Dar hasa baada ya wafanyakazi wa serikali kuhamia Dodoma
- Kama angekuwa anampango wa kuhama mapema, asingezuia miradi mipya ya NHC kuendelea hasa ile ya Dodoma, kwa kuzingatia uhitaji wa nyumba utakaoongezeka katika mji huo mkuu