Nani kajibiwa na NIDA baada ya kutoa 100/=?

Nani kajibiwa na NIDA baada ya kutoa 100/=?

Naona 100 zinazidi kuyoyoma lakini jibu la namba ya kitambulisho sipewi. Kuna aliyefanikiwa baada ya kukubali makato ya Tsh 100 kupitia *152*00#?
Wako sahihi majibu yanaludi kikubwa majina matatu yawe sahihi nanamba yasimu uliyoandikisha kule Nida kunawengine anaweka majina sahihi ila hakumbuki mojawapo yanamba zake zasimu niipi aliandikisha kule nida
 
Nilituma mara ya kwanza nikaona kimya, nikahisi mtandao umezengua baada ya dk kama tano nikatuma tena, nikasubiri kwa siku mbili hola.
Mimi nilituma saa 4 asubuhi jibu wakaleta saa 9 usiku.
 
Mimi nimejaribu na kusaidia watu watatu no zao za nida walipata ila lazima uwe na 100 salio la kawaida, majina yako matatu na no yako ya simu ambayo uliiandika wakati kusajili kitambulisho cha Nida, hata kama hiyo laini imepotea au uitumii Kwa Sasa na k Wana majibu matatu(1)Kama akijatoka wanakuambia(OMBI LAKO LINAENDELEA KUSHUGHULIKIWA (2)Kama kimetoka wanakuambia (Ndugu Jumaa Salimu,kitambulisho chako Kimegaiwa tafadhali fika ofisi ya Nida of Tanga.Kwa msaada zaidi piga 0573333444.NIN 19851209211100000127)(3)kama a Kipo wanakuambia (taarifa zako hazipatikani)
 
Hahahahaha lol! Picha please! Tukione cha urozi kinafananaje.
Kama hiki tu
edc1dc3689faac8c5c05f7e1f23c1e8c.jpeg
345041ed0192b9cd52d3e226cb672685.jpeg
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Unataka kusema hawa wote walioliwa hela yao vitambulisho vyao havijatoka?
Mimi nilijibiwa muda huo huo kwa kutumiwa namba ya NIDA(kitambulisho)

Ni kwamba utajibiwa kwa kutumiwa namba ya kitambulisho kama kitambulisho chako kipo tayari
 
Kwahiyo mnataka kusema hicho ni chanzo kipya cha mapato ya serikali au maana siwaelew
 
Back
Top Bottom