Nenda polisi ukawafungulie RB, then sehemu yoyote ukiwaona ni kuwakamata tu. Yaani tupilia ndaniNaomba utaratibu wa ku claim 300 yangu iliyoliwq maana huu ni wizi kama wizi mwingine
Haha pole sanaWamekula 600 yangu
Niko kilingeni tayariMpaka wewe??? Hebu tuwapige kipai pai
.Mnielekeze nikipiga hiyo menu nachagua nini
Teh.. AsanteHaha pole sana
Siku ya kwanza tu nilivyojaribu nimejibiwa na Kwa bahati nzuri nimepewa namba za kitambulisho.Naona 100 zinazidi kuyoyoma lakini jibu la namba ya kitambulisho sipewi. Kuna aliyefanikiwa baada ya kukubali makato ya Tsh 100 kupitia *152*00#?
Kwa hiyo kwa wale ambao hawakujiandikisha kutengenezewa vitambulisho wanaliwa pesa tu...Ni kwamba utajibiwa kwa kutumiwa namba ya kitambulisho kama kitambulisho chako kipo tayari
Kuna jamaa yangu nae wameshamjibu, nadhani ni kama ulivyosema. Kwahiyo wengi wa walio poteza 100 zao ni wale ambao vitambulisho vyao havijawa tayari.Mimi nilijibiwa muda huo huo kwa kutumiwa namba ya NIDA(kitambulisho)
Ni kwamba utajibiwa kwa kutumiwa namba ya kitambulisho kama kitambulisho chako kipo tayari
Hawajawahi nijibu niachana nao wanakula hela zangu tuNaona 100 zinazidi kuyoyoma lakini jibu la namba ya kitambulisho sipewi. Kuna aliyefanikiwa baada ya kukubali makato ya Tsh 100 kupitia *152*00#?
Hata kama kitambulisho bado si wajibu. Sasa unatuma kuuliza wanakaa kimya unarudia zaidi ya mara kumi khaaMimi nilijibiwa muda huo huo kwa kutumiwa namba ya NIDA(kitambulisho)
Ni kwamba utajibiwa kwa kutumiwa namba ya kitambulisho kama kitambulisho chako kipo tayari