Kichangiri
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 331
- 680
hawa jamaa wapuuzi sana, washakula 700 yng wananijibu taarifa zangu hawazioni
Mkuu kama Fresh Applicatnt wa kitambulisho hawajapata; Je wewe ambaye Umepewa ukapoteza (In anyaway hata kama una strong reason) Nadhani Mlolomgo wake utakuwa mrefu sanaMi nilijibiwa ..nna swali hivi ukipoteza kitambulisho unaweza kurenew?
20000 tsh,tu mkuu watachukua toka kwako alaf utangojaMi nilijibiwa ..nna swali hivi ukipoteza kitambulisho unaweza kurenew?
Aisee hilo bonge la biasharaEndelea kuchangia, NIDA ni kama mawakala wa "Ile pesa ..........." sasa mkituma 100× 500 kwa siku mbona fresh!!!.
Wamekula 200 yanguNaona 100 zinazidi kuyoyoma lakini jibu la namba ya kitambulisho sipewi. Kuna aliyefanikiwa baada ya kukubali makato ya Tsh 100 kupitia *152*00#?
Naona 100 zinazidi kuyoyoma lakini jibu la namba ya kitambulisho sipewi. Kuna aliyefanikiwa baada ya kukubali makato ya Tsh 100 kupitia *152*00#?
Tatizo hujawahi kulipa kodi ya kichwaEndelea kuchangia, NIDA ni kama mawakala wa "Ile pesa ..........." sasa mkituma 100× 500 kwa siku mbona fresh!!!.
Tunachangia pato la taifa kiaina, nchi utapeli sijui utaisha lini.Naona 100 zinazidi kuyoyoma lakini jibu la namba ya kitambulisho sipewi. Kuna aliyefanikiwa baada ya kukubali makato ya Tsh 100 kupitia *152*00#?
Bora hata wamekujibu! Mimi wamepiga kimya kimya baada ya kuulizia zaidi ya mara nneDah nilidhani niko pekeyangu. Mie wameshakwara 400 yangu wananiambia kila siku taarifa hazipo. Na wakati nimejiandikisha toka Feb 2017
Mnielekeze nikipiga hiyo menu nachagua nini
Nenda kwa mwanashrie akupe utaratibu wa kuwapelekea demand noteNaomba utaratibu wa ku claim 300 yangu iliyoliwq maana huu ni wizi kama wizi mwingine
Ume amua kusamehe?Nishapigwa nyingi sana Zaidi ya 1000
Ngoja tuchangie juhudi ndg.Ume amua kusamehe?
Kama Ni hivyo mbona hata kuomba radhi au hata kutoa tahadhari kwa vyombo vingine vya mwasiliano wameshindwa ili watu wasiendeee kuliwa pesa zao?Nenda tawi lolote la Nida, system ina matatizo