Nani kajibiwa na NIDA baada ya kutoa 100/=?

Nani kajibiwa na NIDA baada ya kutoa 100/=?

Tangu nitume ujumbe wa NIDA sijajibiwa hata mara moja.
...Mimi wameishaka 400 zangu. Kila nikiuliza wanakaa kimwa lakini Mia yangu wanakuwa wameishaiotesha mbawa!!
Ni Wizi kama mwingine wowote tu!
Wangejitahidi wakatengeza meseji inayotuambia BADO kama kitambulisho hakijakamilika...kuliko kukaa tu kimya na kuvuta vi.mia mia vyetu kwa Upooole...
 
Usicheke mkuu
Yani hii nchi mtu akiamka analeta la kwake hapo hapo bila ya kufanya tathmini ya jambo hilo.
Mi nilipobonya hiyo number yao nilipoona habari ya malipo nikaachana nao..
 
Yani hii nchi mtu akiamka analeta la kwake hapo hapo bila ya kufanya tathmini ya jambo hilo.
Mi nilipobonya hiyo number yao nilipoona habari ya malipo nikaachana nao..
Ukiwa na shida nacho utafanya tu. Wapuuzi sana
 
Au ni Yanga wameamua kutembeza Bakuli lao kwa mbinu mupyaaaa!!!!?
 
Kama kitambulisho chako kimekamilika ndio utapata jibu lakini kama hajikamilika ndio kuna kuwa hakuna response
 
Back
Top Bottom