Nani kajibiwa na NIDA baada ya kutoa 100/=?

Nani kajibiwa na NIDA baada ya kutoa 100/=?

Hii nchi serikali haijawahi kubuni mbinu ya kumsaidia mwananchi, zai ya kumnyonya na kumuibia kibabe
 
Tangu mwezi wa kwanza sijapata namba, jirani kaenda mwezi wa nne ana namba, alichoniambia nenda pale ka muulize mkurugenzi cjui muombe akufanyie wepesi mwambie unataka kusafiri, yaani u$@$?)&& tuu...eti nikamuombe anisaidie naweza kwenda ila c kwa nia ya kusaidiwa bali kumfukuzisha kazi huyu mpuuzi.
 
Mimi nilijibiwa muda huo huo kwa kutumiwa namba ya NIDA(kitambulisho)

Ni kwamba utajibiwa kwa kutumiwa namba ya kitambulisho kama kitambulisho chako kipo tayari
Kama ni hivi basi huu wanaofanya kukata pesa kwa watu ambao vitambulisho vyao havipo tayar ni utapeli
 
Mbna mm nmekipata ndan ya miez 2 tu tena nmepewa jana
 
Naona 100 zinazidi kuyoyoma lakini jibu la namba ya kitambulisho sipewi. Kuna aliyefanikiwa baada ya kukubali makato ya Tsh 100 kupitia *152*00#?
Jinsi gani naweza kupata nakala ya kitambulisho cha NIDA baada ya kupatiwa NIN, mwenye uelewa kwenye hili jambo anisaidie
 
Jinsi gani naweza kupata nakala ya kitambulisho cha NIDA baada ya kupatiwa NIN, mwenye uelewa kwenye hili jambo anisaidie
Ingia kwenye website yao utaona sehemu ya kuomba copy ya kitambulisho, utajaza namba za kitambulisho chako (NIN).
Then utaulizwa maswali mawili yajibu kwa usahihi utapewa option ya ku dawnload copy ya kitambulisho chako.
 
Kwa namba za VODACOM wanajibu hapo hapo lakini kama unatumia TIGO hawajibu kabisa.
Mitandao mingine sijajaribu
 
  • Thanks
Reactions: Sax
Mwezi huu hata mimi wamenijibu, nafikiri programu tumizi yao ilikuwa haijakaa sawa, kwa sasa iko poa.
 
Back
Top Bottom