Ndio ila kuna gharama kidogo kama sikosei unalipia 20kMi nilijibiwa ..nna swali hivi ukipoteza kitambulisho unaweza kurenew?
Kitambulisho chako kipo tayari mkuu kachukue.baada yakula 600/= walituma huu ujumbe
Ombi lako la kitambulisho linaendelea kushugulikiwa. NIN yako ni 19950****3301****426
Ni kuhusu nn hasa,maana mm sijui lolote,naomba kujuzwaMimi nilijibiwa muda huo huo kwa kutumiwa namba ya NIDA(kitambulisho)
Ni kwamba utajibiwa kwa kutumiwa namba ya kitambulisho kama kitambulisho chako kipo tayari
Wamekula 600 yangu
Wajinga ndio waliwao.Wameshakula 800 yangu
Unaweza kurenew,..uwe na lose report ya polisi unaenda ofisi zao zilipo kwenye wilaya yako watakupa namba ya akaunti ukalipie gharama zaku renew 20,000/= baada ya hapo taratibu zingine zitaendelea,..mimi nilirenew baada ya kupoteza.Mi nilijibiwa ..nna swali hivi ukipoteza kitambulisho unaweza kurenew?
Hayo ndiyo malengo yao. Kwanini wasingehakikisha kwanza kila Mtz mwenye sifa anapata kitambulisho?? Wenye leseni za udereva wamechukuliwa alama ya vidole, kupitia Tin No wamechukua pia sasa hiki cha NIDA kina nini hasa kwenye alama za vidole?? Isitoshe hata ukiwa na kitambulisho cha NIDA bado watahitaji tena alama za vidole wakati wa kusajili line ya simu. Wawe wa kweli wanahitaji pesa na si usajili. (100×3)×(2,000,000) hii ina maana mtu mmoja akiangalia usajili wake NIDA mara tatu utapata sh 300/= ukizidisha kwa watu milioni mbili wanaomiliki simu za mikononi ni hela ndefu. 300×2,000,000=.......Watz sio Wajinga.Miradi kama miradi mingine tupo zaidi ya 50m.
Wakituma watu 10m only 100tsh wanakuwa na 1b.![]()
Unaweza kurenew,..uwe na lose report ya polisi unaenda ofisi zao zilipo kwenye wilaya yako watakupa namba ya akaunti ukalipie gharama zaku renew 20,000/= baada ya hapo taratibu zingine zitaendelea,..mimi nilirenew baada ya kupoteza.
Dah sasa tungefanyaje mkuu?Wajinga ndio waliwao.
What if nataka kubadili jina?Unaweza kurenew,..uwe na lose report ya polisi unaenda ofisi zao zilipo kwenye wilaya yako watakupa namba ya akaunti ukalipie gharama zaku renew 20,000/= baada ya hapo taratibu zingine zitaendelea,..mimi nilirenew baada ya kupoteza.
Mkuu, kwa ninavyoelewa, ukwasi ni hali ya kuwa na pesa za kutosha pengine na ziada.*152*00# unakatwa tzs100 ni bakuli la NIDA lililopata vibali vyote ili kupunguza ukwasi wa shekeli.
Wameshakula 800 yangu

Wamekula 600 yangu

Kubadili jina sina hakika maana kwenye kurenew unatumia documents zilezile za mara ya kwanza kinachofanyika ni kukupiga picha upya na kusign,..kwa kubadili jina nadhani ubadili informations zote ulizotumia wakati unajisali kwa mara ya kwanza,vinginevyo ni kuwafuata wahusika watakupa info zaidiWhat if nataka kubadili jina?
AsanteKubadili jina sina hakika maana kwenye kurenew unatumia documents zilezile za mara ya kwanza kinachofanyika ni kukupiga picha upya na kusign,..kwa kubadili jina nadhani ubadili informations zote ulizotumia wakati unajisali kwa mara ya kwanza,vinginevyo ni kuwafuata wahusika watakupa info zaidi