Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,307
- 33,925
Punde nilikuwa nasikiliza Wimbo wa Sam Wa ukweli uitwao "Sina Raha" kama njia ya utafiti niliokuwa nafanya.
Kwenye "YouTube" wote waliouweka Wimbo huo, kulikuwa na matangazo mbalimbali kwenye channel hizo za YouTube.
Likanijia wazo kuwa wasanii waliokufa kazi zao zinapotumiwa na watu mbalimbali jee hupata mirabaha?
Msanii akifa haki za kazi zake husimamiwaje?
Kwenye "YouTube" wote waliouweka Wimbo huo, kulikuwa na matangazo mbalimbali kwenye channel hizo za YouTube.
Likanijia wazo kuwa wasanii waliokufa kazi zao zinapotumiwa na watu mbalimbali jee hupata mirabaha?
Msanii akifa haki za kazi zake husimamiwaje?