Extra miles
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 3,754
- 5,175
Kama alikuwa na Estate plan inawezekana. Ila kwa TZ wasanii wengi hawana uelewa na hivi vitu na ndio maana wajanja kama Spice/Ziiki, Ngomma, Slide au SmileSasa wanapiga pesa.Itakua warithi wao,
mirabaha nayo si mali au nakosea?