Nani anawadanganya Wakenya kuwa wana Ubavu wa Kushindana 'Kijeshi' na Tanzania inayoogopeka 'Kijeshi' na 'Kiujasusi' Ukanda wa Maziwa Makuu?

Nani anawadanganya Wakenya kuwa wana Ubavu wa Kushindana 'Kijeshi' na Tanzania inayoogopeka 'Kijeshi' na 'Kiujasusi' Ukanda wa Maziwa Makuu?

Tanzania kijeshi inaweza ikawa ya 3 nyuma ya rwanda na kenya, juzi nasoma bajeti naona eti wametenga billion 300 kwa ajili ya maendeleo, hivi kwa dunia ya leo pesa hizo utanunua vifaa ganibvya kisasa kwa ajili ya kujilinda? Maana kutengeneza wenyewe hatuwezi
vita sio pesa, vita ni ujasusi, rwanda amekaa pale nchi yake ndogo lakin hakuna anaetaka kupigana nae maana jamaa sio mtu wa kawaida, inasemekana yeye ni raisi wa congo na rwanda mpaka sasa
 
Na bahati nzuri nilipo sasa GENTAMYCINE nakutana na Wanajeshi wa kutoka Tanzania, Uganda, Rwanda, Sudan Kusini na wa Kenya.

Taarifa ambazo ninazo na pia tu kwa Kuona kwa Wanajeshi wa Kenya ni kwamba wanachojivunia nacho zaidi ni Majigambo na Kiingereza kingi ila nikiwaona katika Mazoezi ya Kimedani hapa nilipo nawaona ni Watupu na sishangai kuona kuwa Kundi Dogo tu lile la Vijana wa 'Gen Z' liliwatoa Jasho Kenya kiasi cha Rais wao Ruto kuomba Msaada wa Rais wa Uganda Museveni ambaye alimsaidia 'Kimkakati' kutuliza hali Tete iliyokuwepo Kenya.

GENTAMYCINE sikushangaa kabisa pale Mkuu wa Majeshi Uganda Jenerali Muhoozi Kainerugaba aliposema kupitia Mtandao wa X (zamani Twitter) kuwa ana uwezo wa kuipiga Kenya ndani ya Siku Mbili tu.

Nilishawahi kuandika hapa hapa JamiiForums kuwa JWTZ halina Mpinzani Kimedani katika huu Ukanda wetu ila baadhi ya Watu hawakunielewa, ila GENTAMYCINE nilithubutu kusema vile baada ya Utai (Ujasusi) wangu wa Kimkakati hasa mahala nilipo sasa.

Kama tu nakutana na Vijana wa Kijeshi (Maafisa Wanafunzi) wa Kitanzania waliofanya Mafunzo yao Kenya, Uganda na Rwanda wananiambia Kaka GENTAMYCINE kaa na Amani ukijua kuwa Tanzania yako tumewaacha mbali mno hawa Majirani zetu Kijeshi na nilipowauliza vipi Kenya Kijeshi wakabaki tu Kucheka na kusema kuwa hao Amiri Jeshi Mkuu Rais Samia Suluhu Hassan akisema tu tuingie nao Vitani kwa jinsi Jeshi lao lilivyo Dhaifu na Wanajeshi wao basi kuna uwezekano mkubwa Kenya ikawa ni Mali rasmi ya Tanzania ndani ya Saa 6 tu.

Sasa kama tu Uganda ya Museveni na Rwanda ya Kagame kutwa Wanalipongeza Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kuwa ni Jeshi imara na limewasaidia mno katika Kufunza Wanajeshi wao na kwa Ushuhuda ambao GENTAMYCINE ninao ni kwamba hadi hivi sasa Jeshi la Uganda na la Rwanda bado wanajifunza kutoka Jeshi la Tanzania kiasi kwamba hata baadhi ya Wakufunzi wa Tanzania (JWTZ) huenda Kukufunzi / Kufundisha Medani za Kivita Wanajeshi wa Uganda na Rwanda.

Binafsi kama GENTAMYCINE juzi nilifurahi mno pale Rais wangu Samia alivyowaadabisha Wakenya Tanzania kwani hata Mimi huku nilipo Siku hiyo hiyo (what a coincidence) nami nilimuadabisha Mjeda mmoja wa Kenya aliyekuwa anatoa Maneno ya Kashfa kwa Tanzania na kwa nilichomwambia nadhani ameanini kuwa Tanzania si tu ni Wababe wa Kijeshi Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati bali pia hata katika Vita ya Maneno tuko vizuri vile vile.

Choko choko za Wakenya kwa Watanzania GENTAMYCINE sijaanza kuzisikia leo na sijui ni kwanini Wakenya wanapenda Kutudharau Watanzania hasa kwa Kigezo cha kutoongea Kiingereza cha KISHOGA kama Wao na kusoma sana.

Hakuna asiyejua (hasa kwa Sisi ambao tunatembea) kuwa Maisha ya Wakenya kama Wakenya ni mabaya na wana Dhiki mno kwani kwa 90% Uchumi wao umemilikiwa na Waingereza na Wamarekani ila Kenya kama Kenya haina lolote.

Kuonyesha kuwa Wakenya wana Matatizo na kwamba wanalolitafuta kwa Watanzania walipata soon hata jana tu Mkuu wa Majeshi Uganda Jenerali Muhoozi Kainerugaba alimpongeza Rais Samia kwa hatua thabiti aliyoichukua juu ya Wakenya na kasema kuwa kuanzia sasa Yeye (CDF Gen Muhoozi Kainerugaba) atakuwa ni Shabiki wa Rais Samia huku akimheshimisha zaidi kwa kumuita Mama....

Wakenya wote mlioko hapa JamiiForums kuweni makini sana na Sisi Watanzania kwani hamtuwezi tu kwa Kimedani (Kivita) bali hata pia Kiuchawi (Kiunyangindo) hamtuwezi vile vile Kudadadeki zenu.

Na kuonyesha kuwa GENTAMYCINE naiwakilisha vyema Tanzania huku nilipo kwa Kuwaadabisha Wakenya huyu Mkenya wenu nimemwambia akithubutu tu kumleta Mkewe hapa tulipo NITAMKAZIA MKEWE na jana nilimsikia akiongea katika Simu na Mkewe akimwambia kuwa Yeye ndiyo atakuwa anaenda mara moja moja kumtembelea Kwao Kenya na kwamba asije Kumtembelea nikajua kuwa BITI LANGU ( MKWARA WANGU) umefika mahala pake.

GENTAMYCINE nikiambiwa nichague Marafiki haraka sana nitawachagua Waganda (Uganda) na Wanyarwanda (Rwanda) ila siyo Wakenya (Kenya) ambao SIWAPENDI na natamani sana Siku moja tuingie nao Vitani ili TUWANYOOSHE na tuheshimiane.

Pumbavu zao......!!!!!!!
Bro kuna uhusiano mkubwa kati ya ukubwa, wa, uchumi, na nguvu za, kijeshi, Kenya, uchumi wake ni mkubwa kuzidi nchi zote za, Africa mashariki kwa, pamoja,
 
Ukiona jirani yako anakukera kila siku, labda si yeye mwenye tatizo huenda ni wewe ndiye umekaa sana dirishani badala ya kuendelea na shughuli zako."
 
Tanzania inaogopeka kijeshi na kijasusi Kwa Nchi zenye idadi kubwa ya watu wendawazimu tu lakini wenye kujitambua huiona Tanzania ni kama taka taka tu kutokana na mambo yake ya kijinga yanayofanywa na serikali
 
Dunia ya Leo inatumia zaid technology kuliko nguvu,saivi nchi yenye technology kubwa ndio Inakuwa stable ktk Kila sector Hilo halina upinzani yaan kiusalama, kiuchumi n.k

Swali la kujiuliza ni je Tz na Kenya ipi imepiga hatua ktk suala la technology.
Mfano kumiliki drone, ndege zisizo na ruban, stable rada, hapa lazima budget yko iwe ya kueleweka
Sijui hata wasawahili Wana satellite ipi ama logistics muscle ipi sembuse technology ipi ya kupambana kivita na Kenya,
wala msitupake harufu mbaya ya uduni nyie watanganyika.
 
Naona vilema mnatambiana, east Africa yote Bado ipo matakoni mwa dunia.
Nyuzi kama hizi mmarekan au mchina akisoma anacheka mbavu Hana.
Sisi siyo vilema ewe mtanganyika,mnaogelea utovu HUKU wenyewe mmepotoka,makajamba Tu!
 
Wenda una mahaba na Rwanda na Uganda pia. Lakini kibajeti, kirasilimali, kivifaa, kimawanda na kiutalamu Rwanda na Uganda watoe kwenye jeshi imara ukanda wa maziwa makuu.

Tanzania na Kenya wanaweza tunishiana misuri kwenye Jeshi, wana jeshi la aina moja kama hufahamu vizuri.

Rwanda ana ardhi 28,300 KM²
Kenya ana ardhi 530,600 KM²

Ushauri: Usiendekeze sana "utoto" wa Muhoozi kwenye analysis zako. Get your facts right man.
 
Kwasababu wanashirikiana na COW - Coalition of the Willing (Uganda, na Rwanda)

Na kati ya hao, Rwanda anaijua Tanzania NJE na NDANI.

Vita ya Uganda tulishinda kwasababu WANANCHI walikuwa kitu kimoja.

Sasa hivi UMOJA wa KITAIFA umekufa.

Watawala ndio wanaua watu wao kila siku kwasababu ya madaraka. Wanapambana na wananchi ambao hawana hata Wembe.

====

Mfano halisi kuwa kwasasa hakuna jipya ni udhalilishwaji waliofanyiwa JESHI la Tanzania walipopita mpaka wa Rwanda wakitokea DRC.

Na hiyo ilikuwa TRAILER tu.

====

View attachment 3340682View attachment 3340683
View attachment 3340685
Watu wajinga kama wewe mnadanganywa kirahisi sana. Nani huyo amekudanganya kwamba rwanda inaifahamu zaidi Tanzania kullko nchi zingine na inaifahamu Tanzania kivipi hasa?
 
Watu wajinga kama wewe mnadanganywa kirahisi sana. Nani huyo amekudanganya kwamba rwanda inaifahamu zaidi Tanzania kullko nchi zingine na inaifahamu Tanzania kivipi hasa?
Watu wenye akili za kenge kama nyie ni mpaka muone damu.

Rwanda ameshawafanyia udhalilishaji mwingi wa dhahiri, kuonesha anawajua.

Ninyi mmefanya lipi??

Screenshot_20250529_070820_Chrome.jpg
 
Tanzania inaogopeka kijeshi na kijasusi Kwa Nchi zenye idadi kubwa ya watu wendawazimu tu lakini wenye kujitambua huiona Tanzania ni kama taka taka tu kutokana na mambo yake ya kijinga yanayofanywa na serikali
Labda zamani ila si kwa sasa, hata top 10 ya majeshi yenye nguvu afrika hawapo.
Achen kuish kwenye past, mambo yamebadilika
 
Serikali ya Kenya na Tanzania akili ya kupigana vita hazipo kwenye vichwa vyao.

Kuna maeneo ambayo Tanzania ya mipaka ambayo ni risk kwa Tanzania, Iła sio Kenya.

Kwenye EAC mpaka na uhusiano wa Kenya na Tanzania ni more predictable. Hizo wishes zenu za uchawi hazipo. Tanzania na Kenya hazifokuwa na vita miaka 8000 quit with the wishful thinking.
 
Jeshi limeshindwa kuunda hata🔪 kuna wanyama wa mtaani walikuwa wanatarent ya kutengeneza bunduki walishikwa wote badala ya kuendelezwa wapo tu wanazeekea kijjni na watakufa na vipaji viunoni
 
Serikali ya Kenya na Tanzania akili ya kupigana vita hazipo kwenye vichwa vyao.

Kuna maeneo ambayo Tanzania ya mipaka ambayo ni risk kwa Tanzania, Iła sio Kenya.

Kwenye EAC mpaka na uhusiano wa Kenya na Tanzania ni more predictable. Hizo wishes zenu za uchawi hazipo. Tanzania na Kenya hazifokuwa na vita miaka 8000 quit with the wishful thinking.
Umeandika KINAFIKI sana.
 
Jeshi limeshindwa kuunda hata🔪 kuna wanyama wa mtaani walikuwa wanatarent ya kutengeneza bunduki walishikwa wote badala ya kuendelezwa wapo tu wanazeekea kijjni na watakufa na vipaji viunoni
Bahati mbaya kwako ni kwamba Tanzania na Kenya wana namna ya kumaliza upumbavu wao.

Na kwa leo Tanzania na Kenya aziwezi ingia kwenye hiyo migogoro mnayotuombea.
 
Na bahati nzuri nilipo sasa GENTAMYCINE nakutana na Wanajeshi wa kutoka Tanzania, Uganda, Rwanda, Sudan Kusini na wa Kenya.

Taarifa ambazo ninazo na pia tu kwa Kuona kwa Wanajeshi wa Kenya ni kwamba wanachojivunia nacho zaidi ni Majigambo na Kiingereza kingi ila nikiwaona katika Mazoezi ya Kimedani hapa nilipo nawaona ni Watupu na sishangai kuona kuwa Kundi Dogo tu lile la Vijana wa 'Gen Z' liliwatoa Jasho Kenya kiasi cha Rais wao Ruto kuomba Msaada wa Rais wa Uganda Museveni ambaye alimsaidia 'Kimkakati' kutuliza hali Tete iliyokuwepo Kenya.

GENTAMYCINE sikushangaa kabisa pale Mkuu wa Majeshi Uganda Jenerali Muhoozi Kainerugaba aliposema kupitia Mtandao wa X (zamani Twitter) kuwa ana uwezo wa kuipiga Kenya ndani ya Siku Mbili tu.

Nilishawahi kuandika hapa hapa JamiiForums kuwa JWTZ halina Mpinzani Kimedani katika huu Ukanda wetu ila baadhi ya Watu hawakunielewa, ila GENTAMYCINE nilithubutu kusema vile baada ya Utai (Ujasusi) wangu wa Kimkakati hasa mahala nilipo sasa.

Kama tu nakutana na Vijana wa Kijeshi (Maafisa Wanafunzi) wa Kitanzania waliofanya Mafunzo yao Kenya, Uganda na Rwanda wananiambia Kaka GENTAMYCINE kaa na Amani ukijua kuwa Tanzania yako tumewaacha mbali mno hawa Majirani zetu Kijeshi na nilipowauliza vipi Kenya Kijeshi wakabaki tu Kucheka na kusema kuwa hao Amiri Jeshi Mkuu Rais Samia Suluhu Hassan akisema tu tuingie nao Vitani kwa jinsi Jeshi lao lilivyo Dhaifu na Wanajeshi wao basi kuna uwezekano mkubwa Kenya ikawa ni Mali rasmi ya Tanzania ndani ya Saa 6 tu.

Sasa kama tu Uganda ya Museveni na Rwanda ya Kagame kutwa Wanalipongeza Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kuwa ni Jeshi imara na limewasaidia mno katika Kufunza Wanajeshi wao na kwa Ushuhuda ambao GENTAMYCINE ninao ni kwamba hadi hivi sasa Jeshi la Uganda na la Rwanda bado wanajifunza kutoka Jeshi la Tanzania kiasi kwamba hata baadhi ya Wakufunzi wa Tanzania (JWTZ) huenda Kukufunzi / Kufundisha Medani za Kivita Wanajeshi wa Uganda na Rwanda.

Binafsi kama GENTAMYCINE juzi nilifurahi mno pale Rais wangu Samia alivyowaadabisha Wakenya Tanzania kwani hata Mimi huku nilipo Siku hiyo hiyo (what a coincidence) nami nilimuadabisha Mjeda mmoja wa Kenya aliyekuwa anatoa Maneno ya Kashfa kwa Tanzania na kwa nilichomwambia nadhani ameanini kuwa Tanzania si tu ni Wababe wa Kijeshi Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati bali pia hata katika Vita ya Maneno tuko vizuri vile vile.

Choko choko za Wakenya kwa Watanzania GENTAMYCINE sijaanza kuzisikia leo na sijui ni kwanini Wakenya wanapenda Kutudharau Watanzania hasa kwa Kigezo cha kutoongea Kiingereza cha KISHOGA kama Wao na kusoma sana.

Hakuna asiyejua (hasa kwa Sisi ambao tunatembea) kuwa Maisha ya Wakenya kama Wakenya ni mabaya na wana Dhiki mno kwani kwa 90% Uchumi wao umemilikiwa na Waingereza na Wamarekani ila Kenya kama Kenya haina lolote.

Kuonyesha kuwa Wakenya wana Matatizo na kwamba wanalolitafuta kwa Watanzania walipata soon hata jana tu Mkuu wa Majeshi Uganda Jenerali Muhoozi Kainerugaba alimpongeza Rais Samia kwa hatua thabiti aliyoichukua juu ya Wakenya na kasema kuwa kuanzia sasa Yeye (CDF Gen Muhoozi Kainerugaba) atakuwa ni Shabiki wa Rais Samia huku akimheshimisha zaidi kwa kumuita Mama....

Wakenya wote mlioko hapa JamiiForums kuweni makini sana na Sisi Watanzania kwani hamtuwezi tu kwa Kimedani (Kivita) bali hata pia Kiuchawi (Kiunyangindo) hamtuwezi vile vile Kudadadeki zenu.

Na kuonyesha kuwa GENTAMYCINE naiwakilisha vyema Tanzania huku nilipo kwa Kuwaadabisha Wakenya huyu Mkenya wenu nimemwambia akithubutu tu kumleta Mkewe hapa tulipo NITAMKAZIA MKEWE na jana nilimsikia akiongea katika Simu na Mkewe akimwambia kuwa Yeye ndiyo atakuwa anaenda mara moja moja kumtembelea Kwao Kenya na kwamba asije Kumtembelea nikajua kuwa BITI LANGU ( MKWARA WANGU) umefika mahala pake.

GENTAMYCINE nikiambiwa nichague Marafiki haraka sana nitawachagua Waganda (Uganda) na Wanyarwanda (Rwanda) ila siyo Wakenya (Kenya) ambao SIWAPENDI.
Jeshi la Tanzania lilikuwa juu miaka ya 80. Ila kwa sasa tupo nyuma sana.

Tumeshindwa kuwaasaidia Msumbiji kuwapiga magaidi wao waliopo karibu na mpaka wa Tanzania. Rwanda wameenda kuwaasaidia.

Tumeshindwa kuwapiga M23 mpaka kapteni wa jeshi letu amerudi kupitia mpaka wa Rwanda na Tanzania ni aibu kubwa sana.
 
Umeandika KINAFIKI sana.
Sisi ndugu kama hujui, ndio maana Tanzania aifanyi mazoezi ya kijeshi mipaka ya Kenya.

Mtatuombea sana, migogoro yetu itashia kwenye maneno na kuwafunda wakenya kuelekea integrated EAC.

Tanzania na Kenya differences ni ndogo sana kabla ya kuwa kitu kimoja.

Shida zaidi Kenya mataahira na ukabila wao.

Lakini ni watu wamoja, jeshi la Tanzania na la Kenya, sidhani kama upande unafikiria invasion ya upande wa pili.

Jeshi la Tanzania na jeshi la Kenya ha wafanyi border exercises.

Vinginevyo jeshi la Tanzania linafanya border exercises Rwanda, Burundi, Malawi, Congo, Mozambique.

Sasa jiulize kwanini sijataja mipaka niliyotaja.

Kenya ni least of Tanzania problem, hawa ni cousins waliovurugwa ambao inataka muda kuelewana.

Kuombea vita Tanzania na Kenya lazima uwe mtu wa mpaka wa maeneo ya vita, ambae unadhani kugombana na majirani ni mambo ya kawaida.

Ngumu kuelewa Mkiambiwa mnasomwa, but then we won’t give up kuhakikisha tunaondoa hizo chuki zenu na EAC inakuwa supranational.

Ukubwa dawa kwa upande wa Tanzania
 
Na bahati nzuri nilipo sasa GENTAMYCINE nakutana na Wanajeshi wa kutoka Tanzania, Uganda, Rwanda, Sudan Kusini na wa Kenya.

Taarifa ambazo ninazo na pia tu kwa Kuona kwa Wanajeshi wa Kenya ni kwamba wanachojivunia nacho zaidi ni Majigambo na Kiingereza kingi ila nikiwaona katika Mazoezi ya Kimedani hapa nilipo nawaona ni Watupu na sishangai kuona kuwa Kundi Dogo tu lile la Vijana wa 'Gen Z' liliwatoa Jasho Kenya kiasi cha Rais wao Ruto kuomba Msaada wa Rais wa Uganda Museveni ambaye alimsaidia 'Kimkakati' kutuliza hali Tete iliyokuwepo Kenya.

GENTAMYCINE sikushangaa kabisa pale Mkuu wa Majeshi Uganda Jenerali Muhoozi Kainerugaba aliposema kupitia Mtandao wa X (zamani Twitter) kuwa ana uwezo wa kuipiga Kenya ndani ya Siku Mbili tu.

Nilishawahi kuandika hapa hapa JamiiForums kuwa JWTZ halina Mpinzani Kimedani katika huu Ukanda wetu ila baadhi ya Watu hawakunielewa, ila GENTAMYCINE nilithubutu kusema vile baada ya Utai (Ujasusi) wangu wa Kimkakati hasa mahala nilipo sasa.

Kama tu nakutana na Vijana wa Kijeshi (Maafisa Wanafunzi) wa Kitanzania waliofanya Mafunzo yao Kenya, Uganda na Rwanda wananiambia Kaka GENTAMYCINE kaa na Amani ukijua kuwa Tanzania yako tumewaacha mbali mno hawa Majirani zetu Kijeshi na nilipowauliza vipi Kenya Kijeshi wakabaki tu Kucheka na kusema kuwa hao Amiri Jeshi Mkuu Rais Samia Suluhu Hassan akisema tu tuingie nao Vitani kwa jinsi Jeshi lao lilivyo Dhaifu na Wanajeshi wao basi kuna uwezekano mkubwa Kenya ikawa ni Mali rasmi ya Tanzania ndani ya Saa 6 tu.

Sasa kama tu Uganda ya Museveni na Rwanda ya Kagame kutwa Wanalipongeza Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kuwa ni Jeshi imara na limewasaidia mno katika Kufunza Wanajeshi wao na kwa Ushuhuda ambao GENTAMYCINE ninao ni kwamba hadi hivi sasa Jeshi la Uganda na la Rwanda bado wanajifunza kutoka Jeshi la Tanzania kiasi kwamba hata baadhi ya Wakufunzi wa Tanzania (JWTZ) huenda Kukufunzi / Kufundisha Medani za Kivita Wanajeshi wa Uganda na Rwanda.

Binafsi kama GENTAMYCINE juzi nilifurahi mno pale Rais wangu Samia alivyowaadabisha Wakenya Tanzania kwani hata Mimi huku nilipo Siku hiyo hiyo (what a coincidence) nami nilimuadabisha Mjeda mmoja wa Kenya aliyekuwa anatoa Maneno ya Kashfa kwa Tanzania na kwa nilichomwambia nadhani ameanini kuwa Tanzania si tu ni Wababe wa Kijeshi Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati bali pia hata katika Vita ya Maneno tuko vizuri vile vile.

Choko choko za Wakenya kwa Watanzania GENTAMYCINE sijaanza kuzisikia leo na sijui ni kwanini Wakenya wanapenda Kutudharau Watanzania hasa kwa Kigezo cha kutoongea Kiingereza cha KISHOGA kama Wao na kusoma sana.

Hakuna asiyejua (hasa kwa Sisi ambao tunatembea) kuwa Maisha ya Wakenya kama Wakenya ni mabaya na wana Dhiki mno kwani kwa 90% Uchumi wao umemilikiwa na Waingereza na Wamarekani ila Kenya kama Kenya haina lolote.

Kuonyesha kuwa Wakenya wana Matatizo na kwamba wanalolitafuta kwa Watanzania walipata soon hata jana tu Mkuu wa Majeshi Uganda Jenerali Muhoozi Kainerugaba alimpongeza Rais Samia kwa hatua thabiti aliyoichukua juu ya Wakenya na kasema kuwa kuanzia sasa Yeye (CDF Gen Muhoozi Kainerugaba) atakuwa ni Shabiki wa Rais Samia huku akimheshimisha zaidi kwa kumuita Mama....

Wakenya wote mlioko hapa JamiiForums kuweni makini sana na Sisi Watanzania kwani hamtuwezi tu kwa Kimedani (Kivita) bali hata pia Kiuchawi (Kiunyangindo) hamtuwezi vile vile Kudadadeki zenu.

Na kuonyesha kuwa GENTAMYCINE naiwakilisha vyema Tanzania huku nilipo kwa Kuwaadabisha Wakenya huyu Mkenya wenu nimemwambia akithubutu tu kumleta Mkewe hapa tulipo NITAMKAZIA MKEWE na jana nilimsikia akiongea katika Simu na Mkewe akimwambia kuwa Yeye ndiyo atakuwa anaenda mara moja moja kumtembelea Kwao Kenya na kwamba asije Kumtembelea nikajua kuwa BITI LANGU ( MKWARA WANGU) umefika mahala pake.

GENTAMYCINE nikiambiwa nichague Marafiki haraka sana nitawachagua Waganda (Uganda) na Wanyarwanda (Rwanda) ila siyo Wakenya (Kenya) ambao SIWAPENDI.
Achana na hizi threads TOLU

baki na zole za soka na majungu zinakupendeza zaidi
 
Back
Top Bottom