Nani anawadanganya Wakenya kuwa wana Ubavu wa Kushindana 'Kijeshi' na Tanzania inayoogopeka 'Kijeshi' na 'Kiujasusi' Ukanda wa Maziwa Makuu?

Nani anawadanganya Wakenya kuwa wana Ubavu wa Kushindana 'Kijeshi' na Tanzania inayoogopeka 'Kijeshi' na 'Kiujasusi' Ukanda wa Maziwa Makuu?

Na bahati nzuri nilipo sasa GENTAMYCINE nakutana na Wanajeshi wa kutoka Tanzania, Uganda, Rwanda, Sudan Kusini na wa Kenya.

Taarifa ambazo ninazo na pia tu kwa Kuona kwa Wanajeshi wa Kenya ni kwamba wanachojivunia nacho zaidi ni Majigambo na Kiingereza kingi ila nikiwaona katika Mazoezi ya Kimedani hapa nilipo nawaona ni Watupu na sishangai kuona kuwa Kundi Dogo tu lile la Vijana wa 'Gen Z' liliwatoa Jasho Kenya kiasi cha Rais wao Ruto kuomba Msaada wa Rais wa Uganda Museveni ambaye alimsaidia 'Kimkakati' kutuliza hali Tete iliyokuwepo Kenya.

GENTAMYCINE sikushangaa kabisa pale Mkuu wa Majeshi Uganda Jenerali Muhoozi Kainerugaba aliposema kupitia Mtandao wa X (zamani Twitter) kuwa ana uwezo wa kuipiga Kenya ndani ya Siku Mbili tu.

Nilishawahi kuandika hapa hapa JamiiForums kuwa JWTZ halina Mpinzani Kimedani katika huu Ukanda wetu ila baadhi ya Watu hawakunielewa, ila GENTAMYCINE nilithubutu kusema vile baada ya Utai (Ujasusi) wangu wa Kimkakati hasa mahala nilipo sasa.

Kama tu nakutana na Vijana wa Kijeshi (Maafisa Wanafunzi) wa Kitanzania waliofanya Mafunzo yao Kenya, Uganda na Rwanda wananiambia Kaka GENTAMYCINE kaa na Amani ukijua kuwa Tanzania yako tumewaacha mbali mno hawa Majirani zetu Kijeshi na nilipowauliza vipi Kenya Kijeshi wakabaki tu Kucheka na kusema kuwa hao Amiri Jeshi Mkuu Rais Samia Suluhu Hassan akisema tu tuingie nao Vitani kwa jinsi Jeshi lao lilivyo Dhaifu na Wanajeshi wao basi kuna uwezekano mkubwa Kenya ikawa ni Mali rasmi ya Tanzania ndani ya Saa 6 tu.

Sasa kama tu Uganda ya Museveni na Rwanda ya Kagame kutwa Wanalipongeza Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kuwa ni Jeshi imara na limewasaidia mno katika Kufunza Wanajeshi wao na kwa Ushuhuda ambao GENTAMYCINE ninao ni kwamba hadi hivi sasa Jeshi la Uganda na la Rwanda bado wanajifunza kutoka Jeshi la Tanzania kiasi kwamba hata baadhi ya Wakufunzi wa Tanzania (JWTZ) huenda Kukufunzi / Kufundisha Medani za Kivita Wanajeshi wa Uganda na Rwanda.

Binafsi kama GENTAMYCINE juzi nilifurahi mno pale Rais wangu Samia alivyowaadabisha Wakenya Tanzania kwani hata Mimi huku nilipo Siku hiyo hiyo (what a coincidence) nami nilimuadabisha Mjeda mmoja wa Kenya aliyekuwa anatoa Maneno ya Kashfa kwa Tanzania na kwa nilichomwambia nadhani ameanini kuwa Tanzania si tu ni Wababe wa Kijeshi Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati bali pia hata katika Vita ya Maneno tuko vizuri vile vile.

Choko choko za Wakenya kwa Watanzania GENTAMYCINE sijaanza kuzisikia leo na sijui ni kwanini Wakenya wanapenda Kutudharau Watanzania hasa kwa Kigezo cha kutoongea Kiingereza cha KISHOGA kama Wao na kusoma sana.

Hakuna asiyejua (hasa kwa Sisi ambao tunatembea) kuwa Maisha ya Wakenya kama Wakenya ni mabaya na wana Dhiki mno kwani kwa 90% Uchumi wao umemilikiwa na Waingereza na Wamarekani ila Kenya kama Kenya haina lolote.

Kuonyesha kuwa Wakenya wana Matatizo na kwamba wanalolitafuta kwa Watanzania walipata soon hata jana tu Mkuu wa Majeshi Uganda Jenerali Muhoozi Kainerugaba alimpongeza Rais Samia kwa hatua thabiti aliyoichukua juu ya Wakenya na kasema kuwa kuanzia sasa Yeye (CDF Gen Muhoozi Kainerugaba) atakuwa ni Shabiki wa Rais Samia huku akimheshimisha zaidi kwa kumuita Mama....

Wakenya wote mlioko hapa JamiiForums kuweni makini sana na Sisi Watanzania kwani hamtuwezi tu kwa Kimedani (Kivita) bali hata pia Kiuchawi (Kiunyangindo) hamtuwezi vile vile Kudadadeki zenu.

Na kuonyesha kuwa GENTAMYCINE naiwakilisha vyema Tanzania huku nilipo kwa Kuwaadabisha Wakenya huyu Mkenya wenu nimemwambia akithubutu tu kumleta Mkewe hapa tulipo NITAMKAZIA MKEWE na jana nilimsikia akiongea katika Simu na Mkewe akimwambia kuwa Yeye ndiyo atakuwa anaenda mara moja moja kumtembelea Kwao Kenya na kwamba asije Kumtembelea nikajua kuwa BITI LANGU ( MKWARA WANGU) umefika mahala pake.

GENTAMYCINE nikiambiwa nichague Marafiki haraka sana nitawachagua Waganda (Uganda) na Wanyarwanda (Rwanda) ila siyo Wakenya (Kenya) ambao SIWAPENDI na natamani sana Siku moja tuingie nao Vitani ili TUWANYOOSHE na tuheshimiane.

Pumbavu zao......!!!!!!!
Usiandike tu eti kwa sababu unajua kusoma na kuandika....
 
TPDF ilikuwa zamani enzi za ukombozi kusini mwa Afrika.Unaongelea jeshi lililofurushwa juzi kati hapa na Waasi wa M23 mpaka kupokonywa silaha na kusindikizwa na vikosi vya jeshi la Rwanda?!!!!
 
Kenya ni moja ya nchi zenye majeshi yenye wanajeshi walio na maadili mabovu kupindukia, hii inatokana na wengi wao kuingia jeshini kupitia rushwa. Utimamu wa jeshi kimedani unaanza kupimwa kwenye maadili.
Nakumbuka kwenye tukio la ugaidi lililotokea Nairobi Westgate shopping mall badala ya wao kuwasaka na kupambana na magaidi au kuokoa raia wao walijikita katika kuiba mali za kwenye maduka, nadhani hata magaidi wenyewe waliwashangaa.

View: https://www.youtube.com/watch?v=e0MWhcGGv5M

Kwahyo jeshi lako watu hawaingii Kwa rushwa, au ndio nyani halioni kundule
 
Hahahah!! JW wavunja kokoto wana fanya KAZI za wanawake wajane. Rwanda ndio bingwa w kijishe east and central Africa
 

Attachments

  • Screenshot_20250520-135223.png
    Screenshot_20250520-135223.png
    520.5 KB · Views: 16
Wakenya wanachekesha sana. Wewe wanajeshi wenyewe wanavalishwa kama sungu sungu alaf midomoni tu wanaonekana ni wanywa gongo wakubwa, ndio wajifananishe na jeshi imara la Tanzania 😂😂😂
 

Attachments

  • Screenshot_20250521_082441_Chrome.jpg
    Screenshot_20250521_082441_Chrome.jpg
    483.3 KB · Views: 14
Na bahati nzuri nilipo sasa GENTAMYCINE nakutana na Wanajeshi wa kutoka Tanzania, Uganda, Rwanda, Sudan Kusini na wa Kenya.

Taarifa ambazo ninazo na pia tu kwa Kuona kwa Wanajeshi wa Kenya ni kwamba wanachojivunia nacho zaidi ni Majigambo na Kiingereza kingi ila nikiwaona katika Mazoezi ya Kimedani hapa nilipo nawaona ni Watupu na sishangai kuona kuwa Kundi Dogo tu lile la Vijana wa 'Gen Z' liliwatoa Jasho Kenya kiasi cha Rais wao Ruto kuomba Msaada wa Rais wa Uganda Museveni ambaye alimsaidia 'Kimkakati' kutuliza hali Tete iliyokuwepo Kenya.

GENTAMYCINE sikushangaa kabisa pale Mkuu wa Majeshi Uganda Jenerali Muhoozi Kainerugaba aliposema kupitia Mtandao wa X (zamani Twitter) kuwa ana uwezo wa kuipiga Kenya ndani ya Siku Mbili tu.

Nilishawahi kuandika hapa hapa JamiiForums kuwa JWTZ halina Mpinzani Kimedani katika huu Ukanda wetu ila baadhi ya Watu hawakunielewa, ila GENTAMYCINE nilithubutu kusema vile baada ya Utai (Ujasusi) wangu wa Kimkakati hasa mahala nilipo sasa.

Kama tu nakutana na Vijana wa Kijeshi (Maafisa Wanafunzi) wa Kitanzania waliofanya Mafunzo yao Kenya, Uganda na Rwanda wananiambia Kaka GENTAMYCINE kaa na Amani ukijua kuwa Tanzania yako tumewaacha mbali mno hawa Majirani zetu Kijeshi na nilipowauliza vipi Kenya Kijeshi wakabaki tu Kucheka na kusema kuwa hao Amiri Jeshi Mkuu Rais Samia Suluhu Hassan akisema tu tuingie nao Vitani kwa jinsi Jeshi lao lilivyo Dhaifu na Wanajeshi wao basi kuna uwezekano mkubwa Kenya ikawa ni Mali rasmi ya Tanzania ndani ya Saa 6 tu.

Sasa kama tu Uganda ya Museveni na Rwanda ya Kagame kutwa Wanalipongeza Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kuwa ni Jeshi imara na limewasaidia mno katika Kufunza Wanajeshi wao na kwa Ushuhuda ambao GENTAMYCINE ninao ni kwamba hadi hivi sasa Jeshi la Uganda na la Rwanda bado wanajifunza kutoka Jeshi la Tanzania kiasi kwamba hata baadhi ya Wakufunzi wa Tanzania (JWTZ) huenda Kukufunzi / Kufundisha Medani za Kivita Wanajeshi wa Uganda na Rwanda.

Binafsi kama GENTAMYCINE juzi nilifurahi mno pale Rais wangu Samia alivyowaadabisha Wakenya Tanzania kwani hata Mimi huku nilipo Siku hiyo hiyo (what a coincidence) nami nilimuadabisha Mjeda mmoja wa Kenya aliyekuwa anatoa Maneno ya Kashfa kwa Tanzania na kwa nilichomwambia nadhani ameanini kuwa Tanzania si tu ni Wababe wa Kijeshi Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati bali pia hata katika Vita ya Maneno tuko vizuri vile vile.

Choko choko za Wakenya kwa Watanzania GENTAMYCINE sijaanza kuzisikia leo na sijui ni kwanini Wakenya wanapenda Kutudharau Watanzania hasa kwa Kigezo cha kutoongea Kiingereza cha KISHOGA kama Wao na kusoma sana.

Hakuna asiyejua (hasa kwa Sisi ambao tunatembea) kuwa Maisha ya Wakenya kama Wakenya ni mabaya na wana Dhiki mno kwani kwa 90% Uchumi wao umemilikiwa na Waingereza na Wamarekani ila Kenya kama Kenya haina lolote.

Kuonyesha kuwa Wakenya wana Matatizo na kwamba wanalolitafuta kwa Watanzania walipata soon hata jana tu Mkuu wa Majeshi Uganda Jenerali Muhoozi Kainerugaba alimpongeza Rais Samia kwa hatua thabiti aliyoichukua juu ya Wakenya na kasema kuwa kuanzia sasa Yeye (CDF Gen Muhoozi Kainerugaba) atakuwa ni Shabiki wa Rais Samia huku akimheshimisha zaidi kwa kumuita Mama....

Wakenya wote mlioko hapa JamiiForums kuweni makini sana na Sisi Watanzania kwani hamtuwezi tu kwa Kimedani (Kivita) bali hata pia Kiuchawi (Kiunyangindo) hamtuwezi vile vile Kudadadeki zenu.

Na kuonyesha kuwa GENTAMYCINE naiwakilisha vyema Tanzania huku nilipo kwa Kuwaadabisha Wakenya huyu Mkenya wenu nimemwambia akithubutu tu kumleta Mkewe hapa tulipo NITAMKAZIA MKEWE na jana nilimsikia akiongea katika Simu na Mkewe akimwambia kuwa Yeye ndiyo atakuwa anaenda mara moja moja kumtembelea Kwao Kenya na kwamba asije Kumtembelea nikajua kuwa BITI LANGU ( MKWARA WANGU) umefika mahala pake.

GENTAMYCINE nikiambiwa nichague Marafiki haraka sana nitawachagua Waganda (Uganda) na Wanyarwanda (Rwanda) ila siyo Wakenya (Kenya) ambao SIWAPENDI na natamani sana Siku moja tuingie nao Vitani ili TUWANYOOSHE na tuheshimiane.

Pumbavu zao......!!!!!!!
Labda inaongoza kijeshi kupasua matofali.Hii post yako M23 wakiiona watakushangaa.
 
Dunia ya Leo inatumia zaid technology kuliko nguvu,saivi nchi yenye technology kubwa ndio Inakuwa stable ktk Kila sector Hilo halina upinzani yaan kiusalama, kiuchumi n.k

Swali la kujiuliza ni je Tz na Kenya ipi imepiga hatua ktk suala la technology.
Mfano kumiliki drone, ndege zisizo na ruban, stable rada, hapa lazima budget yko iwe ya kueleweka
 
Labda kivita, ila mambo mengine yoooote wametupita. Angalia GDP yao ulinganishe na sisi. Walituacha mbali enzi zile za mwalimu na ujamaa wetu. Ukisema umasikini wa Kenya, hata America kuna masikini.
 
Hata huku ugonjwa huo upo! Kama wewe siyo mtoto au ndugu wa mjeda hutoboi.
Kenya ni moja ya nchi zenye majeshi yenye wanajeshi walio na maadili mabovu kupindukia, hii inatokana na wengi wao kuingia jeshini kupitia rushwa. Utimamu wa jeshi kimedani unaanza kupimwa kwenye maadili.
Nakumbuka kwenye tukio la ugaidi lililotokea Nairobi Westgate shopping mall badala ya wao kuwasaka na kupambana na magaidi au kuokoa raia wao walijikita katika kuiba mali za kwenye maduka, nadhani hata magaidi wenyewe waliwashangaa.

View: https://www.youtube.com/watch?v=e0MWhcGGv5M
 
Kenya ni moja ya nchi zenye majeshi yenye wanajeshi walio na maadili mabovu kupindukia, hii inatokana na wengi wao kuingia jeshini kupitia rushwa. Utimamu wa jeshi kimedani unaanza kupimwa kwenye maadili.
Nakumbuka kwenye tukio la ugaidi lililotokea Nairobi Westgate shopping mall badala ya wao kuwasaka na kupambana na magaidi au kuokoa raia wao walijikita katika kuiba mali za kwenye maduka, nadhani hata magaidi wenyewe waliwashangaa.

View: https://www.youtube.com/watch?v=e0MWhcGGv5M

Umesema vyema kabisa Mkuu wangu ila tegemea Mipumbavu hapa na Mijitu isiyo Mizalendo kwa Tanzania kukupinga.
 
Mleta mada huwa unatumia matako badala ya kichwa kufikili. Uimara wa jeshi hupimwa kwa mizania ipi? Je wingi wa wanajeshi ndio uimara? Teknolojia ishatoka huko,ingekuwa wingi wa jeshi basi ukraine na USSR vita ingeisha siku mbili,parestina na israel vilevile. wenzenu wanawekeza kununua silaha za kisasa nyie mnawekeza kutisha raia. Waguseni wakenya muone
 
Tanzania kijeshi inaweza ikawa ya 3 nyuma ya rwanda na kenya, juzi nasoma bajeti naona eti wametenga billion 300 kwa ajili ya maendeleo, hivi kwa dunia ya leo pesa hizo utanunua vifaa ganibvya kisasa kwa ajili ya kujilinda? Maana kutengeneza wenyewe hatuwezi
Wewe ulishafika kambi yoyote ya jeshi au unajiongelea tu mambo usiyoyajua.Au ukisikia bajeti unataka uambiwe kila kitu,na je vifaa ambavyo vipo vinayeyuka ili wawe wananunua kila mwaka?.Kama unataka ujue wana vifaa vya kisasa au hawana nenda kwenye hayo makambi utaelezwa vizuri.
 
Mleta mada huwa unatumia matako badala ya kichwa kufikili. Uimara wa jeshi hupimwa kwa mizania ipi? Je wingi wa wanajeshi ndio uimara? Teknolojia ishatoka huko,ingekuwa wingi wa jeshi basi ukraine na USSR vita ingeisha siku mbili,parestina na israel vilevile. wenzenu wanawekeza kununua silaha za kisasa nyie mnawekeza kutisha raia. Waguseni wakenya muone
USSR gani!?
 
Tunadanganyana tu out of uoga, unafiki na kujipa moyo. Ukiyasema mara ooohh "taarifa za kijeshi
ni siri" sasa sijui ninyi mnajuaje kama tuna huo ubavu.
 
Back
Top Bottom