Nani anamiliki Internet(Who owns the internet)?

Nani anamiliki Internet(Who owns the internet)?

KeyserSoze

Hujamuelewa Mtoa Mada Anachouliza

Huyu aelewi kaelezwa mgunduzi ni jeshi la marekani ila sasa hivi watu wameenda mbali na kuwa networks nyingi licha ya kwamba US kama taifa bado lina miliki karibu patents (haki miliki) zote za masuaka ya mitandao hasa internet karibu yote duniani. Watu wengine ni kama core founders wa mwanzilishi.
 
Last edited by a moderator:
Habarini wataalamu

Napenda kujua nani ndie mmiliki wa internet.... I mean pale tunapolipia huduma hii je mtu wa mwisho ktk jumuisho kuu wa makusanyo n nani?
NOTE: Najua maana ya internet vzur, ila napenda kujua mmiliki wa huduma hiii pia anapatikana nchi gani.......?

Nawakilisha
 
Ili ujibiwe, kwa kuwa umesema unajua maana ya internet vizuri, unaweza kutuambia unavyoelewa wewe internet ni nini?
 
Braza Google anasema.... No one actually owns the Internet, and no single person or organization controls the Internet in its entirety. The Internet is more of a concept than an actual tangible entity, and it relies on a physical infrastructure that connects networks to other networks.

WATAALAM ZAIDI WATAFAFANUA
 
Habarini wataalamu

Napenda kujua nani ndie mmiliki wa internet.... I mean pale tunapolipia huduma hii je mtu wa mwisho ktk jumuisho kuu wa makusanyo n nani?
NOTE: Najua maana ya internet vzur, ila napenda kujua mmiliki wa huduma hiii pia anapatikana nchi gani.......?

Nawakilisha
Swali zuri sana. Na mimi nasubiri sana jibu kwa hamu.
 
Internet haina mmiliki mkuu!!!.....

Ngoja waje wajuvi walio nondo zaidi waje wakufafanulie jinsi system ya internet ilivo.. Maana kitambo sana mpka nirudi kwenye library yangu ni brush ubongo(joke).....
 
Habarini wataalamu

Napenda kujua nani ndie mmiliki wa internet.... I mean pale tunapolipia huduma hii je mtu wa mwisho ktk jumuisho kuu wa makusanyo n nani?
NOTE: Najua maana ya internet vzur, ila napenda kujua mmiliki wa huduma hiii pia anapatikana nchi gani.......?

Nawakilisha
The simple answer to that question is nobody and everybody. The Internet is not a single thing. The Internet is a collection of many hundreds of thousands of different computer networks and hundreds of millions of computers, all speaking the same “language.”

By way of analogy, it's like saying “who owns agriculture?” Nobody. Agriculture is a set of techniques, it is not a single thing. Many hundreds of millions of different people own tools like shovels and tractors and spades. Many people own land and plant seeds. Those people own their gardens and their farms. Nobody owns agriculture.

Mkuu mimi nimekutafunia kidogo tu imebaki wewe kumeza, by the way kama lugha inapanda pitia hii link kufahamu origin of the internet
https://www.google.com/url?sa=t&sou...ghvMBE&usg=AFQjCNE_mAN7h13H-W0U3N0w7khShXIIuQ
 
Internet, kilimo, biashara, serikali, barabara n.k hakuna mtu au taasisi yoyote inayoweza kumili vitu hivi!

Kinachowezekana ni kuwa na share tu ya umiliki wa baadhi ya kipande cha huduma au shuguli hizi!

Huwezi kuuliza nani mmiliki wa barabara, kilimo au serikali hapa duniani!
 
Back
Top Bottom