Jitu jeusi
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 1,722
- 2,401
Mkuu setellite sio lazma kwa internet... hiyo ilikuwa zamani ila sasa sehemu nyingi duniani wanatumia undermarine fiber optic cableAlisema hivyo kwa sababu, kampuni almost zote zinazoratibu mtandao huo wa computer wa dunia (internet) aidha zipo Marekani, Marekani ilihusika katika kuanzishwa kwake, ilikuja kuziweka 'under her captivity' au ilikuja kuzimiliki baadaye, si unajua dunia hii mwenye nacho huongezewa na ubabe ndio unaotawala dunia? Zipo ideas nyingi za uratibu wa internet ambazo USA hakuhusika ila kwa kuwa yeye ni mbabe wa kiuchumi/kijeshi alikuja akaziteka baadaye!
Pia usisahau kuwa miundombinu mikubwa inayounga dunia yote hasa kwenye sekta ya internet ni SATELLITE! Unajua ni nchi gani inayomiliki Satellite nyingi dunia hii? Ni USA Baby!
Mwenye nguvu...................!
Au jaribu kuGoogle undersea fiber optic au marine fiber optic utapata kila kitu