Satellite unaweza kumiliki hata wewe. Nakumbuka India kama sikosei nao wamerusha satellite mwaka Jana .hata Nigeria pia. Advantage ya kuwa na satellite unaweza kucontrol mawasiliano ya nini unataka watu wapate na nini wasipate. Kuna free satellite na pia prepaid satelliteNo satellite no internet! The question is; who owns the satellites?
Its not trueNo satellite no internet! The question is; who owns the satellites?
Its not trueNo satellite no internet! The question is; who owns the satellites?
Kwa hiyo unaamini kabisa kwamba satellites zikizimwa utaendelea kupata internet?!Its not true
kunanjia mbili za kupata internet:
1. Through setellites- hii njia imetumika hasa kipindi cha nyuma, alafu pia inagharama kubwa sana..... kama unakumbuka kuanzia mika ya 2010 kurudi nyuma vifurushi vya internet vilikuwa ghari sana.... pia hii njia ya setellite ipo slow sana
Makampuni mengi huwa wanaitumia kama backup namaanisha kama njia mbadala wa internet
2. Undersea fiber cable- hii njia ya kupaga internet dunia kwa kutumia nyaya/waya zinazoitwa fiber optic..... fiber optic zinasafirusha data kwa speed kama ya mwanga, pia gharama zake zipo chini sana.
MFANO HALISI: ukitunia shilingi 3800/= kwa kupata internet kwa njia ya setellite..... hapo ingekuwa kwa optic fiber ungelipa sh 640 kwa kiwango cha data hicho hicho.
Kuanzia mwaka 2010 na kuendele huduma za internet hapa mchini tz zilishuka kwa kiasi fulani... hii ilitokana na mapinduzi ya fiber technologies
View attachment 524958
Its not true
kunanjia mbili za kupata internet:
1. Through setellites- hii njia imetumika hasa kipindi cha nyuma, alafu pia inagharama kubwa sana..... kama unakumbuka kuanzia mika ya 2010 kurudi nyuma vifurushi vya internet vilikuwa ghari sana.... pia hii njia ya setellite ipo slow sana
Makampuni mengi huwa wanaitumia kama backup namaanisha kama njia mbadala wa internet
2. Undersea fiber cable- hii njia ya kupaga internet dunia kwa kutumia nyaya/waya zinazoitwa fiber optic..... fiber optic zinasafirusha data kwa speed kama ya mwanga, pia gharama zake zipo chini sana.
MFANO HALISI: ukitunia shilingi 3800/= kwa kupata internet kwa njia ya setellite..... hapo ingekuwa kwa optic fiber ungelipa sh 640 kwa kiwango cha data hicho hicho.
Kuanzia mwaka 2010 na kuendele huduma za internet hapa mchini tz zilishuka kwa kiasi fulani... hii ilitokana na mapinduzi ya fiber technologies
Ndio hivyo mkuuKwa hiyo unaamini kabisa kwamba satellites zikizimwa utaendelea kupata internet?!
Story za vijiweni hizi.Me nilisikia familia ya Rockefeller ndio ilikuwa inamiliki satellite huko anga za juu kwa ajili ya mawasiliano ya simu TV na mawasiliano mengine.. kabla nchi kadhaa kuanza na wao kutuma satellite kwa usalama wao, kuhusu Internet pia wanaweza kuwa ni wao but aliyegundua www ameshakufa miaka Michache iliyopita. But Makampuni makubwa yanayomiliki mambo ya mawasiliano ni ya hao wayahudi na ni asili ya Rothschild family tu. Kuna siri kubwa kuwafahamu walivyogawa utajiri kwa watu wanaowataka haswa hawa wanapewa scholarship mbalimbali duniani. Sawa na hawa wayahudi wa Acacia ukiwabana wanakuja watu wengine na hao wengine wakibanwa watakuja wengine ila mwisho ni hao Rothschild family na Rockefeller shield wa Rothschild
Internet inatumia waya(fiber-optic) zilizopita chini ya bahari na si satellites.No satellite no internet! The question is; who owns the satellites?
Hapo bila shaka north korea alikuwa anatumia setillete ya USA au iyo backbone cable ilikuwa niya USA ndo maana USA alidisconnet internet ya north korea pia kumbuka watu wanapolipia kwenye haya makapun yanalipa kwa ajir ya huduma ya internet sio internet kwasababu internet ni huduma"Nobody own internet but there are the ones who controls the internet"
The world and google might be encouraging you that you own internet or nobody own it...not true..
Or because you buy and unacheka bundles by yourself then you say nobody own internet?
Who is is investigating you from facebook when you do a crimes?
Or because you build your towers, network infrastructures, and jaza ujazwe then unamiliki internet then why don't you build your servers?
North Korea is one of the country to have developed everything by itself from the scratch...but yet miaka ya nyuma Washington ilizima internet ya wa North Korea for several hours....Pyongyang walikuwa hawachat mpka US akawaachia then u say no body owns it....this might be the saying to make you feel free from inside an unknown trap....
If so develop your internet infrastructure and say nobody owns it...but i tell you there are shits owns it.
Sikubaliani na wewe. Matumizi ya internet yako ya aina nyingi.huwezi kusema kuna mtu anaimiliki wakati kila mtu ana Uhuru wa kutumia computer yake kwa program anazozitaka. Baadhi ya server za network kubwa kubwa kama Google, Facebook, WhatsApp na social media nyingine zipo USA na wanaweza kumanage. Lakini kwa mfano Uchina wanayo social network ya kwao ambayo ni wachina wenyewe wanaweza kucontrol."Nobody own internet but there are the ones who controls the internet"
The world and google might be encouraging you that you own internet or nobody own it...not true..
Or because you buy and unacheka bundles by yourself then you say nobody own internet?
Who is is investigating you from facebook when you do a crimes?
Or because you build your towers, network infrastructures, and jaza ujazwe then unamiliki internet then why don't you build your servers?
North Korea is one of the country to have developed everything by itself from the scratch...but yet miaka ya nyuma Washington ilizima internet ya wa North Korea for several hours....Pyongyang walikuwa hawachat mpka US akawaachia then u say no body owns it....this might be the saying to make you feel free from inside an unknown trap....
If so develop your internet infrastructure and say nobody owns it...but i tell you there are shits owns it.
Hichi ulichoandika nacho ni dataNaona watu wanazunguka tu, nauliza kivi nani n mpishi wa data??
Habarini wataalamu
Napenda kujua nani ndie mmiliki wa internet.... I mean pale tunapolipia huduma hii je mtu wa mwisho ktk jumuisho kuu wa makusanyo n nani?
NOTE: Najua maana ya internet vzur, ila napenda kujua mmiliki wa huduma hiii pia anapatikana nchi gani.......?
Nawakilisha
Mbona ni Eassy kabisaHichi ulichoandika nacho ni data
Ingia hapo usome vizuri utawakuta
THE SEVEN COMPANIES THAT REALLY OWN THE INTERNET | Icaruswept
Umeisoma ukaelewa? Anzia kwenye ISP/ISPsMbona ni Eassy kabisa
Alisema hivyo kwa sababu, kampuni almost zote zinazoratibu mtandao huo wa computer wa dunia (internet) aidha zipo Marekani, Marekani ilihusika katika kuanzishwa kwake, ilikuja kuziweka 'under her captivity' au ilikuja kuzimiliki baadaye, si unajua dunia hii mwenye nacho huongezewa na ubabe ndio unaotawala dunia? Zipo ideas nyingi za uratibu wa internet ambazo USA hakuhusika ila kwa kuwa yeye ni mbabe wa kiuchumi/kijeshi alikuja akaziteka baadaye!Mbona Trump aliwahi kusema "... Hata internet tunayotumia inatoka kwao (Marekani) na wakiamua kuizima there is nothing we can do" hili nalo limekaaje? No one owns internet kweli? Na kama kweli "hayupo" Trump alipata wapi jeuri ya kusema hivi au alikua ana maana gani?