Nani anafaa kuongoza tume ya "Katiba Mpya"?

Kikwete asitufanyie usanii wa kumteua rafiki yake au mtu wa CCM. Kinachotakia ni mtu atakayependekezwa na Raisi kuwa mwenyekiti wa tume hiyo aidhinishwe na MBUNGE. Vinginevyo mimi na wanasheria wenzangu tutaishitaki seriki kwa kuomba order mahakamani ya kumzuia Mwanasheria mkuu wa serikali(TZ Bara)asihusike kwa namna yoyote ile katika mchakato wa kuandika katiba mpya!

Hivi unaongelea Bunge gani hilo litakalokuwa na uwezo wa kukataa kumidhinisha mteule wa Rais ambaye ni pia Mwenyekiti wa CCM? ni hilihili la Tanzania au lingine?you need to think again!!
 
Mteule wa kuongoza mchakato wa katiba mpya ikiundwa na jk,pamoja na kabila lake kama benson bana,makamba,kinana el,ra,n.k sitoihamini labda amteue dr.Slaa,Tundu lisu,marando,mwakyembe,selelii au Renatus mkinga,wapo wengi ila si sura alizotaja mleta hoja. Wapo wengi si lazima awe jaji au mtu mashuhuri sana kwani yeye si VETO ktk kuunda katiba,yeye ataongoza kamati kwa weledi wake na wala si kwa ubabe!nieleweke vizuri!
 
Bunge, bunge, bunge................
Hivi mnazungumzia bunge gani?, hili lenye more than 70% ya ccm, na linaloongozwa na Makinda?
 
Inahitaji wanasheria wa Katiba na Haki za Binadamu kama Issa G. Shivji na Chris Maina Peter ila nahisi JK atampa Palamagamba Kabudi!
 
Kikwete asitufanyie usanii wa kumteua rafiki yake au mtu wa CCM. Kinachotakia ni mtu atakayependekezwa na Raisi kuwa mwenyekiti wa tume hiyo aidhinishwe na MBUNGE. Pili wawakishi wa makundi(pressure groups or interested groups) wateuliwe na makundi husika, na majina hayo yapelekwe na makundi hayo kwa Raisi kwaajili ya kuunda tume hiyo. Raisi asipewe fursa ya kuingia kwenye makundi husika na kuteua watu anaowataka yeye(kwani anaweza kuteua watu ndumila kuwili kama akina Zitto). Kama utaratibu huu utakiukwa basi tujiandae kupata katiba fake, kitu ambacho sisi kama watanznia hatutakubali ufisadi huo wa katiba. The commission must be well represented,balanced,fair and just to the citizens of Tanzania. NB: Werema(mwanasheria mkuu wa serikali-Bara) hafai kwa namna yoyote kuwemo katika tume hiyo kwasababu ni biased already. Vinginevyo mimi na wanasheria wenzangu tutaishitaki seriki kwa kuomba order mahakamani ya kumzuia Mwanasheria mkuu wa serikali(TZ Bara)asihusike kwa namna yoyote ile katika mchakato wa kuandika katiba mpya!

Hata akiidhinishwa na bunge hakutakuwa na tofauti. Majority ya wabunge ni wa CCM so wataidhinisha yoyote atakayeteuliwa na JK.
 
Inahitaji wanasheria wa Katiba na Haki za Binadamu kama Issa G. Shivji na Chris Maina Peter ila nahisi JK atampa Palamagamba Kabudi!

Nakubaliana na wewe. Kama Palamagamba Kabudi hatakuwa mwenyekiti then atakuwa mjumbe.
 
Tume ya JK ni yake mwenyewe na wala siyo ya Watanzania..........................anaweza kuweka bulicheka yeyote yule ambaye ataona anamfaa..................................Tume ya JK haina nguvu ya kisheria na huku inadaiwa inakusanya maoni ya kuunda sheria mama............How pathetic and absurd..................
 
Inahitaji wanasheria wa Katiba na Haki za Binadamu kama Issa G. Shivji na Chris Maina Peter ila nahisi JK atampa Palamagamba Kabudi!

Nakubaliana na wewe. Kama Palamagamba Kabudi hatakuwa mwenyekiti then atakuwa mjumbe.

Ninawashukuru nyote mliona mbali ya kuwa JK hawezi kumwacha Profesa Palamagama Kabudi.......huyu ndiye aliyeazimwa na Mahakama ya Rufaa akasema katiba yetu haina msingi ya kuegemea na hivyo kuishawishi Mahakama hiyo kutamka hadharani na bila ya haya kuwa Katiba yetu haina misingi ambayo bunge haiwezi kuitengua ikimaanisha ya kuwa hata Vifungu vya Ujamaa na kujitegemea ikiwemo Bill of Rights.......siyo msingi wa katiba yetu......na kwa kufanya hivyo mahakama ya Rufaa ikajipa mwanya wa kusema Bunge klina uwezo wa kutunyang'anya haki ya mgombea binafsi.......................


Kahfa ya mgombea binafsi imemweka pabaya sana Pamalagamba Kabudi...kuwa ni mbinafsi na yupo tayari kuyauza masilahi ya taifa kwa kuneemesha mkate wake binafsi.......................

Kabudi akiteuliwa ujue uchakachuaji wa dhana nzima ya KATIBA MPYA utakuwa umekamilika..................
 

Kikwete forms constitution team





By DAILY NEWS Reporter, 31st December 2010
PRESIDENT Jakaya Kikwete on Friday broke his silence on constitutional reform saying that he has formed a Special Commission to oversee the required review following a heated national debate on the matter.

In his New Year's message welcoming 2011, President Kikwete said that the commission would be headed by a competent lawyer and comprises representatives of all sections of the society from both sides of the Union.

Recently political parties, academicians, religious organizations and a cross section of the public have been engaged in a hot debate of whether the current constitution should be overhauled, amended or remain untouched.

The president's stance comes few days after Prime Minister Mizengo Pinda told editors that he would personally initiate the process by advising the president to form a panel to oversee the process of reviewing the constitution.

"The primary function of the commission will be to oversee and co-ordinate the process that will involve all people without discriminating political parties, businessmen, community based organizations, religious organizations, academicians and other people within and outside the country," the president declared.

According to him, upon completion of receiving recommendation, the commission will submit its report to relevant constitutional organs for further decisions.

"After reaching an agreement, our nation will have a new constitution to be applicable on an agreed date," President Kikwete told the nation in his speech broadcast by TV and radio stations on Friday evening.

"Our existing constitution, which was acquired from our founders, has done a lot of good things and has brought us and the nation here. We've got one independent country, with mature democracy, good governance and stable rule of law.

Ours is a country with peace, harmony and political stability whose people live in peace and love," noted the president. He warned, however, that members of the public should not be used as sacrificial lambs by some politicians.

The president was optimistic that the process would be conducted in an atmosphere of peace, harmony and sobriety to enable all people to air their views despite diversity of opinions.

He cautioned that undue pressure, emotions and hatred should not prevail during the process as such approach may cost the country and render the whole process meaningless and costly.

President Kikwete said that the decision to allow the process was one of four key decisions reached by him and other leaders. He mentioned other decisions as the 50th anniversary of of independence to be held this year.

The decisions also include an indepth assessment of achievements made in the past 50 years and special trade fairs to be held at Mwalimu Nyerere Trade Fair grounds in Dar es Salaam and throughout the country to showcase achievements made in the past 50 years of the independence.

On power tariffs, the president asked the public to accept new arrangements due to the prevailing commercial and economic situation. He called on them to ignore politicians who had politicized the tariff hike.

Mr Kikwete told the nation that within the next 12 months, Tanesco will increase power output by 160MW and in the next 36 months the effort will see another 970MW from various power projects.

The president finally wished all the 'wananchi' a happy and prosperous New Year.
 
Hivi hapa watu wanajadili nini tafadhali?

Mimi nilivyoelewa, JK ataunda Constitution review committee. Je hicho ndicho tunachohitaji? Kama sicho basi mimi simo kwenye huu mjadala kwa sababu tayari hoja ya JK kwangu itakuwa batili!

DC
 
Hii thread haina maslahi; tume iliyohundwa na rais ni lazima itekeleze hayo anayeyataka rais, ikileta mawazo tofauti, sana sana taarifa yake itapokelewa na kuifanyie ukarabati mkubwa kiasi kwamba siku ya siku itakuwa vigumu hata kwa wanatume wenyewe kuitambua. Vinginevyo tume hiyo inaweza hata ikapata kipigo cha mbwa kama yaliyomkuta jaji Kisanga wakati wa enzi za Mkapa.
 
subiri nikasomee falsafa, nikihitimu nitafafanua.

tunao watanzania wachache saaaaaaaaaaana wanaofaa kuongoza tume hii ya katiba mpya. Bila ubishi prof issa shivji anafaa lakini huyu ili kulinda maslahi ya watanzania -tena majority kama ningekuwa na sauti ningependekeza prof issa shivji awe mwenyekiti katibu wake dr slaa. Hapa hakuna mtanzania atakayekuwa na doubt labda mafisadi.
 
Back
Top Bottom